Wadau wazungumzia bajeti ya kilimo na matumaini mapye sekta hiyo
Channel:
Subscribers:
2,590,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=3eMaP7gJVH4
Mwenyekiti wa Baraza la Kilimo Tanzania, Dkt. Jacqueline Mkindi ameitaja bajeti ya kilimo kwa mwaka huu kwamba inaonesha mwelekeo chanya huku wadau wengine wa kilimo wakitaja kwamba imeibua kicheko na matumaini mapya.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
kilimo
bajeti ya kilimo
mkindi
TAHA
mboga mboga