Highlights | Azam FC 0-1 Simba SC | Nusu Fainali ASFC 26/06/2021
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=E0F992iUbLE
AZAM VS SIMBA 0-1 : Tazama jinsi Simba walivyotinga fainali ya #AzamSportsFederationCup kwa goli la maajabu kutoka kwa Luis Miquissone baada ya Bernard Morrison kuanzisha kwa haraka mpira wa kutenga (free-kick) dakika ya 89.
Katika mchezo huu wa nusu fainali, Simba imeitandika Azam FC bao 1-0 kwenye Uwanja wa Majimaji, Songea.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
Azam FC
Simba SC
Simba vs Azam
Azam na Simba 0-1
Azam na Simba kombe la shirikisho
highlights
soka
Azam vs Simba ASFC
magoli
goals
Morrison
Miquissone