Mabasi 70 mapya ya UDART kuanza kazi wiki ijayo
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=48iuNPTqDMA
UDART imeingiza mabasi mapya 70 nchini ili kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa watumiaji wa usafiri wa mwendo wa haraka huku jiji la Dar es Salaam na wakazi wake wakitarajiwa kuwa wanufaika wakubwa zaidi.
Utaratibu zaidi wa kuanza kutumika kwa mabasi hayo unaelezwa hapa na afisa mtendaji mkuu wa UDART John Mguya alipofanya mahojiano mahsusi na Esterbella Malisa.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
UTV
UDART
Usafiri Dar es Salaam
Esterbella Malisa
Mwendo wa Haraka
Mwendo Kasi