Hali ya hewa ya upepo mkali imekuwa kikwazo kwa shughuli za anga
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=hnAqRzB2cV8
Hali ya hewa ya upepo mkali imekuwa kikwazo kwa shughuli za anga katika siku za hivi karibuni katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro KIA na kuzilazimu baadhi ya ndege kushindwa kutua.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
tanzania
azamtvtyoutube