Kanye adai alimfumania aliyekuwa mkewe KIM akiwa na staa huyu, atoa maneno ya chuki kwa wayahudi

Subscribers:
1,310,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=K2OkQ5ve0d8



Duration: 9:22
8,275 views
191


Rapper Kanye West ameibuka tena baada ya kurushwa kwa mahojiano aliyofanyiwa na Alex Jone kwenye kipindi kiitwacho INFO WAR na kutoa maneno ya chuki dhidi ya wayahudi kwa kumtetea na kumsifia aliyekuwa kiongozi wa Ujerumani Adolf Hittler pamoja uongozi wake pia kuweka wazi kuwa aliyekuwa mkewe kipindi wakiwa kwenye ndoa aliwahi kumfumania akiwa na staa wa mpira wa kikapu aitwaye Chris Paul, azuiliwa kuitumia akaunti yake ya Twitter kisa hiki




Other Videos By Simulizi Na Sauti


2022-12-03Je ni HAMISA? Mtangazaji wa kipindi cha JIONI YA LEO cha Efm ajibu kuhusu kile alichokisema Mpoki
2022-12-03WHOZU athibitsha WEMA SEPETU kupata UJAUZITO wake na kuaribika, aahidi kumpa mimba nyingine
2022-12-03HARMONIZE na timu yake akiwa na SKALES watimba kwa MARIOO kiza Kinene, hii inaitwa funga dimba
2022-12-02MARIOO alivyotimba kwenye Listening Party ya Album yake, aongozana na Mastaa hawa
2022-12-02POSHY QUEEN avunja ukimya ishu ya HAMISA MOBETTO na mtoto wake, afunguka haya
2022-12-02Wizkid: Afrobeats ni pop mpya, sisikilizi Rap, inaboa na imekufa tayari
2022-12-02Ibraah: Sitaondoka Konde Gang, endeleeni kusubiri
2022-12-02Manara amjibu Mzee Yusuf baada ya kudai maisha yake na wake zake wawili ni 'Show off na unafiki'
2022-12-02Muandaaji wa Miss Rwanda Prince Kid aachiwa huru
2022-12-02WEMA: Natamani huyo mtoto nitoroke naye, Mungu naomba nijaalie wangu na mimi
2022-12-02Kanye adai alimfumania aliyekuwa mkewe KIM akiwa na staa huyu, atoa maneno ya chuki kwa wayahudi
2022-12-02Drake ametumia dakika 246 Spotify kusikiliza nyimbo za 2 Pac, ndiye msanii aliyemsikiliza zaidi 2022
2022-12-02Burna Boy alivyowapiku Kendrick Lamar, Beyonce, Chris Brown na wengine kwenye tuzo za MOBO Uingereza
2022-12-02Ni Snoop Dogg, mke wake,watoto na wajukukuu kwenye mavazi ya msimu wa sikukuu ya Kim Kardashian
2022-12-02Jay Z awashitaki wamiliki wa kinywaji cha BARCADI kwa kukataliwa kuinunua kampuni hiyo kwa mabilioni
2022-12-02La liga waiandikia hili Yanga,ni kuhusu zile Unbeaten,wenyewe wafanya hili
2022-12-02Pele wa Brazil alazwa ICU, kinachomsibu ni hiki,hali yake kwa sasa ni hii
2022-12-02Wabunge wa kike na kiume wakunjana bungeni live wakionekanakana kwenye tv kisa hiki,Spika aamua hili
2022-12-02Huu hapa undani wa mauaji ya Mhadhiri chuo cha Saut Mwanza,alikutwa amelala sakafuni mtandio shingon
2022-12-01PICHA za WATOTO zilivyoiponza kampuni ya BALENCIAGA, fahamu kwanini wanatukanwa, KIM awakimbia
2022-12-01Rhobi Samwelly: Shujaa anayepinga Ukeketaji aliyemgusa Rais wa Ufaransa, nazungumza naye toka Paris