Shughuli ya kutafuta miili inaendelea Mathare
Channel:
Subscribers:
4,770,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=S0ke68Ea0M4
Shughuli ya kutafuta miili katika eneo la Mathare jijini Nairobi ziliingia siku ya tatu hii leo, huku familia zaidi zikiripoti kutoweka kwa jamaa zao. Haya ni huku zaidi ya familia 300, zilizoathiriwa na mafuriko katika eneo la Kiamaiko zikisitiriwa katika shule ya msingi ya Valley Bridge