TANZANIA PRISONS 1-1 KAGERA SUGAR: HIGHLIGHTS (VPL - 19/10/2019)
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Vq7PIM0wMmE
Wajelajela Tanzania Prisons wamebanwa nyumbani kwa kulazimishwa sare ya bao 1-1 na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa leo Sokoine Jijini Mbeya.
Prisons ndiyo waliotangulia kupata bao dakika 60 kupitia kwa Ismail Aziz kabla ya Kagera Sugar kusawazisha dakika ya 78 kwa bao la Nassoro Kapama.