"Unaliwakilisha Taifa" - Bondia Salim Mtango apewa maagizo mazito kuelekea Usiku wa Ngoma Nzito
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=dWJEQ1wTFjs
Bondia Salim Mtango kutoka hapa Tanga anajiandaa kuzichapa na Bryson Gwayani kutoka nchini Malawi katika usiku wa Ngoma Nzito, Mkwakwani Stadium, Tanga, Januari 28, 2023.
Kuelekea pambano hilo, hapa Mtango anapewa maagizo ya kitaifa kutoka kwa kocha wake, Hamis Mwakinyo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
tanzania
azamtvtyoutube
Salim Mtango
bondia
usiku wa vitasa
ngoma nzito
tanga
Tanga Beach
Mtango Promo