DC Mchembe ataka vyoo bora Handeni
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=eumtbT4zZG8
Mkuu wa wilaya ya Handeni Siriel Mchembe amewataka wananchi wilayani humo kuacha mila potufu za kutokuwa na vyoo na badala yake wajenge vyoo bora ili kujikinga na maradhi ya mlipuko.
Mkuu huyo wa wilaya ametoa kauli hiyo wakati wa maadhimisho wa kilele cha Juma la unawaji mikono.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
Handeni
Vyoo Bora
Usafi wa mazingira
Choo ni afya
Nyumba ni choo
Siriel Mchembe
World Vision Tanzania