WWF yatenga Sh9 bilioni kulinda rasilimali za asili
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=O8WKl20MlV0
Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyapori WWF limetenga zaidi ya Shilingi bilioni tisa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi unaolenga kuboresha ustawi wa watu na kulinda rasilimali za asili za Ikolojia kwa maslahi ya watu na wanyamapori.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
maliasili
WWF