Chuo Kikuu Cha Afya MUHAS chagundua ongezeko la wagonjwa wa magonjwa yasiyoambukiza
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=BqNvgsc5JdE
Katika kuadhimisha miaka sitini ya uhuru chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili kimesema licha ya kukua kwa sekta ya afya na ongezeko la hospitali kumekuwa na ongezeko la wagonjwa wa magonjwa yasiyoambukiza tofauti na miaka ya nyuma.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
UTV
MUHAS
Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi Shirikishi MUHAS