NYAMA | Mikakati ya kunusuru upungufu wa nyama yawekwa wazi
Channel:
Subscribers:
2,620,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=TGq4usJvs7I
Tanzania iko mbioni kupungukiwa kwa nyama kwa takriban tani milion 1.7 ifikapo mwaka 2031 kwa mujibu wa mpango wa maendeleo ya sekta ya mifugo wa miaka kumi na tano kutokana na ukuaji wa maendeleo hivyo kupelekea ongezeko la watu na upungufu wa ardhi
Katika mkutano wa kwanza wa chama cha wafugaji wakubwa kibiashara TCCS unaojadili changamoto zao na nini kifanyike ndipo kaimu mkurugenzi wa idara ya masoko na mauzo wa wizara ya mifugo ndio akaweka bayana na kuainisha mikakati ya serikali katika kukabiliana na hilo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
Nyama
TCCS
Mifugo
Ng'ombe
Kilimo na Ufugaji