FAO yatahadharisha ongezeko la athari ya ukatwaji wa mikoko
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=cAsmFsYMKLo
Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limewataka wananchi kukaa chini na kutafakari madhara yanayotokana nayo ukataji wa mikoko kwani athari zake ni kubwa kwa maisha.
Hayo yamesemwa na Mratibu wa Mradi wa Marejesho ya Mfumo wa Ikolojia wa Mikoko Ulioharibika wa ACP-MEA III kutoka Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO), Diomedes Kalisa alipotembelea mradi huo katika wilaya ya Kigamboni, jijini Dar es Salaam.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
FAO
Mikoko
Kilimo na chakula
Uharibifu wa mazingira