Ongezeko la watalii Kilimanjaro || Huduma za kitalii zaboreshwa Hai, uwanja wa KIA
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=LAcFTwrU4gg
Mamlaka za serikali zinazosimamia sekta za anga na utalii zimeanza kuweka mazingira wezeshi katika kuboresha huduma ikiwemo uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA zikiwemo usafiri binafsi (Teksi) huduma za migahawa na ubadilishaji wa fedha za kigeni.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
UTV
Kilimanjaro Airport
KIA