Magoli | Mbeya City 2-2 KMC | NBC Premier League 27/11/2021
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=hIyHZx8wa4s
Timu ya KMC imeilazimisha sare ya mabao 2-2 Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliochezwa leo kwenye Dimba la Sokoine, jijini Mbeya.
Magoli ya Mbeya City yamefungwa na Paul Nonga pamoja na Richardson Ng'ondya huku KMC wakipata mabao yao kupitia kwa Matheo Anthony pamoja na Mohamed Samatta.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
NBC Premier League
NBC
ligi kuu
Tanzania
Tanzania Bara
soka
football
soccer
Mbeya City
KMC
Mbeya City vs KMC