Kanali Surumbu awataka wananchi kushiriki shughuli za maendeleo
Channel:
Subscribers:
2,620,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=3PEiQ-72z0Q
Mkuu wa wilaya ya Mkinga, Kanali Maulid Surumbu amewataka wananchi wilayani humo kushiriki kuchangia nguvu kazi kwenye shughuli za maendeleo ikiwemo ujenzi wa madarasa pamoja na vituo vya afya ili kufanya miradi hiyo ikamilike kwa wakati.
Mkuu huyo wa wilaya ametoa kauli hiyo wakati wa zoezi la amsha ari kwa wananchi wa Mkinga ambalo limefanyika kwa wananchi hao pamoja na viongozi kushiriki katika ujenzi wa madarasa matano katika shule ya sekondari Mkinga leo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
UTV
Mkinga
Maendeleo Tanga