Manaibu wasajili na Watendaji wa mahakama wanolewa kwa siku 5
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=EiKWV0pF2LA
Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapha Siyani amewataka manaibu wasajili walioteuliwa pamoja na watendaji wa mahakama kutekeleza jukumu lao la kutoa haki kwa wananchi badala ya kutumia vibaya nafasi walizopewa kwa kujiona mungu watu.
Jaji kiongozi ametoa kauli hiyo wakati akifungua mafunzo ya siku tano kwa Naibu wasajili wa Mahakama na watendaji wa mahakama walioteuliwa hivi karibuni kwenye maeneo mbali mbali nchini.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
UTV
Mahakama
Wasajili wa mahakama
Mafunzo