UFUNGUO | Mbinu za ufundishaji zenye tija na mafanikio kwa wanafunzi
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Zc_BY-sb2cY
Walimu wa masomo mbalimbali hususani masomo yanayohitaji uelewa mkubwa na umakini wa mwanafunzi wanashauriwa kutumia mbinu mbadala kwenye kufikisha maudhui kwa wanafunzi.
Je, ni mbinu gani hufaa zaidi na matumizi ya zana gani hufaa kwa wanafunzi wa madarasa ya awali?
Ungana na Faraja Sendegeya kwenye UFUNGUO.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
utv
Ufunguo
Elimu
Zana za kufundishia