REA yavuka malengo ya kusambaza umeme vijijini
Channel:
Subscribers:
2,610,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=-z2WItqnsUI
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imefanikiwa kuvuka malengo waliyojiwekea ya kuwafikishia wananchi huduma ya umeme kwa asilimia hamsini ambapo hadi June 2021 wamewafikishia kwa asilimia 69.6
Mkurugenzi Mkuu wa REA Mhandisi Hassan Seif Saidy wakati akielekea mafanikio ya miaka 60 ya uhuru, jijin Dar es salaam amebainisha hali ya maisha ya wakazi wa vijijini imebadilika Kwani wakala hao tangu waanze mwaka 2007 ilikuwa ni asilimia 2 tu ya vijiji walikuwa wamefikiwa na huduma ya umeme ambapo kwasasa ndio hizo asilimia zaidi ya sitini
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
UTV
REA
Umeme
Maendeleo