UFUNGUO || Uhaba wa vitabu shuleni || Mwananchi unamsaidiaje mwanafunzi?
Channel:
Subscribers:
2,620,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=i6exk8xhXhw
Ni jambo la kawaida kuona wazazi wa wanafunzi wakiitaka serikali kuwajibika kwenye kuhakikisha wanafunzi wanapata zana zote za kujifunza wakiwa shuleni.
Je, inapotokea kuna uhaba wa vitabu kwa wanafunzi, wazazi na walezi wanapaswa kuchukua hatua gani?
Tujuze
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
utv
Elimu
Kigoma
Ufunguo