Round Up: Hamisa ndani ya drama ya boyfriend mpya baada ya ‘kiki’ ya Josh, Mange yupo sahihi? VIDEO
Siku kadhaa zilizopita, Hamisa Mobetto aliingia kwenye drama nyingine baada ya mrembo Tahiya kumshutumu kumuibia bwana. Hamisa kumuonesha Tahiya kuwa si lolote, aliweka picha akiwa na mwanaume huyo na kusema ni wake peke yake. Mange aliibuka na kumshauri Hamisa kuwa asipende kujihusisha na kiki za kijinga, ushauri ambao umepelekea hadi sasa urafiki wao umeingia dosari. Tumejadili kuhusiana na hatua hiyo na kama ni kitu sahihi kwa Mama Dylan kufanya kwa sasa
Other Videos By Simulizi Na Sauti 2019-01-30 Mikono Speakers International: Kongamano la taasisi za kifedha Dar limekuwa na mafanikio makubwa 2019-01-29 ‘Kumbe Juice ya miwa tamu hivi’ Sky baada ya kuinywa kwa mara ya kwanza! 2019-01-29 Mashabiki wa Diamond waanza kuiota ndoto ya collabo na Cardi B! 2019-01-29 Benki ya DCB yatengeneza faida ya shilingi Bilioni 1.9 mwaka 2018 2019-01-28 The Black Chair: Hamisa awakwepa Diamond na Tanasha kwa Manara akomea kwenye gari, Wema + Idris 2019-01-28 Davido adaiwa kuingiza takriban shilingi Bil. 2.5 kwenye show ya London, Diamond ampongeza 2019-01-28 Fintech is beyond payment systems - USMAN ISIAKA - MD/CEO (United Bank of Africa) 2019-01-28 Tumezungumza na Beatrice, mwanamke nyuma ya mafanikio ya Haji Manara 2019-01-28 Irene Paul: Tunavaa vigodoro ili kuyapa support maumbo yetu, wengine hawana confidence! 2019-01-28 Irene Uwoya afunguka kuhusu Manara, Paula, ndoa, kuongeza mtoto na mipango ya 2019 2019-01-27 Round Up: Hamisa ndani ya drama ya boyfriend mpya baada ya ‘kiki’ ya Josh, Mange yupo sahihi? 2019-01-27 Round Up: Anachofanyiwa binti wa Kajala, Paula kwa matokeo yake ni Unyama wa Kimtandao, 'TOO MUCH' 2019-01-27 Round Up: Ndoa ilee, inakuja! Ben Pol apeleka posa kwenye familia ya mamilionea ya Anerlisa Kenya 2019-01-27 Irene Uwoya anunua perfume ya De la Boss kwa $1,000, Shishi akimwaga Kimombo! 2019-01-27 Diamond na Tanasha ni mabusu, kukumbatiana na kushikana kimahaba, watia fora uzinduzi De La Boss 2019-01-27 Sebastian Ndege (Jembe ni Jembe) afunguka kukejeliwa baada ya kufanya mazishi ya mbwa wake, Jacky 2019-01-27 Millard Ayo aeleza kwanini hapendi kufanya party kubwa kwenye siku yake ya kuzaliwa 2019-01-27 Utacheka Shilole alivyowazingua waandishi wa habari kwenye usiku wa De la Boss! 2019-01-27 Maulid Kitenge afunguka kuhusu matangazo ya 'betting' kuzuiwa! 2019-01-27 Aristotee amponda Zari The Bosslady mbele ya Diamond na Tanasha! 2019-01-27 Shuhudia jinsi Diamond na Tanasha wakiwasili kwenye De la Boss Night
Tags: Hamisa Mobetto
Mange Kimambi
Diamond Platnumz