Round Up: Hamisa ndani ya drama ya boyfriend mpya baada ya ‘kiki’ ya Josh, Mange yupo sahihi?

Subscribers:
1,320,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=EeKEt7zzd7E



Duration: 49:35
6,465 views
118


Siku kadhaa zilizopita, Hamisa Mobetto aliingia kwenye drama nyingine baada ya mrembo Tahiya kumshutumu kumuibia bwana. Hamisa kumuonesha Tahiya kuwa si lolote, aliweka picha akiwa na mwanaume huyo na kusema ni wake peke yake. Mange aliibuka na kumshauri Hamisa kuwa asipende kujihusisha na kiki za kijinga, ushauri ambao umepelekea hadi sasa urafiki wao umeingia dosari. Tumejadili kuhusiana na hatua hiyo na kama ni kitu sahihi kwa Mama Dylan kufanya kwa sasa




Other Videos By Simulizi Na Sauti


2019-01-30Mikono Speakers International: Kongamano la taasisi za kifedha Dar limekuwa na mafanikio makubwa
2019-01-29‘Kumbe Juice ya miwa tamu hivi’ Sky baada ya kuinywa kwa mara ya kwanza!
2019-01-29Mashabiki wa Diamond waanza kuiota ndoto ya collabo na Cardi B!
2019-01-29Benki ya DCB yatengeneza faida ya shilingi Bilioni 1.9 mwaka 2018
2019-01-28The Black Chair: Hamisa awakwepa Diamond na Tanasha kwa Manara akomea kwenye gari, Wema + Idris
2019-01-28Davido adaiwa kuingiza takriban shilingi Bil. 2.5 kwenye show ya London, Diamond ampongeza
2019-01-28Fintech is beyond payment systems - USMAN ISIAKA - MD/CEO (United Bank of Africa)
2019-01-28Tumezungumza na Beatrice, mwanamke nyuma ya mafanikio ya Haji Manara
2019-01-28Irene Paul: Tunavaa vigodoro ili kuyapa support maumbo yetu, wengine hawana confidence!
2019-01-28Irene Uwoya afunguka kuhusu Manara, Paula, ndoa, kuongeza mtoto na mipango ya 2019
2019-01-27Round Up: Hamisa ndani ya drama ya boyfriend mpya baada ya ‘kiki’ ya Josh, Mange yupo sahihi?
2019-01-27Round Up: Anachofanyiwa binti wa Kajala, Paula kwa matokeo yake ni Unyama wa Kimtandao, 'TOO MUCH'
2019-01-27Round Up: Ndoa ilee, inakuja! Ben Pol apeleka posa kwenye familia ya mamilionea ya Anerlisa Kenya
2019-01-27Irene Uwoya anunua perfume ya De la Boss kwa $1,000, Shishi akimwaga Kimombo!
2019-01-27Diamond na Tanasha ni mabusu, kukumbatiana na kushikana kimahaba, watia fora uzinduzi De La Boss
2019-01-27Sebastian Ndege (Jembe ni Jembe) afunguka kukejeliwa baada ya kufanya mazishi ya mbwa wake, Jacky
2019-01-27Millard Ayo aeleza kwanini hapendi kufanya party kubwa kwenye siku yake ya kuzaliwa
2019-01-27Utacheka Shilole alivyowazingua waandishi wa habari kwenye usiku wa De la Boss!
2019-01-27Maulid Kitenge afunguka kuhusu matangazo ya 'betting' kuzuiwa!
2019-01-27Aristotee amponda Zari The Bosslady mbele ya Diamond na Tanasha!
2019-01-27Shuhudia jinsi Diamond na Tanasha wakiwasili kwenye De la Boss Night



Tags:
Hamisa Mobetto
Mange Kimambi
Diamond Platnumz