Bonge la meli yatia nanga Mombasa
Channel:
Subscribers:
4,820,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=WBBhLrL3Y8s
Bandari ya Mombasa imepokea meli kubwa zaidi kuwahi kutia nanga nchini. Meli hiyo aina ya MV. MSC KOTKA ina urefu wa mita 318 sawa na viwanja vitatu vya kucheza kandanda iliwasili mapema hii leo katika gati nambari 16 hadi 17.