Kofia za vito kuwa na umuhimu kwa jamii za Waswahili maeneo ya pwani
Channel:
Subscribers:
4,820,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=DGJef--eE2o
Kofia za vito ni vazi la kitamaduni lenye umuhimu mkubwa kwa jamii za Waswahili katika maeneo ya pwani. Kofia za vito huvaliwa kwa kanzu na wanaume Wa jamii ya Waislamu wakati wa sherehe za kitamaduni, mikutano ya jamii, harusi, na hata wakati wa Swala.