Wawakilishi wa IGAD wakutana kufanya kongamano Turkana
Channel:
Subscribers:
4,810,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=XBtRlFeRL90
Mataifa wanachama wa Shirika la IGAD wamefanya kongamano lililowaleta pamoja wawakilishi na viongozi kutoka Sudan kusini na Ethiopia katika eneo la Lokichogio kaunti ya Turkana kujadili mikakati ya amani mipakani. Jamii za wafugaji katika maeneo hayo ya mipaka zimekuwa zikizozania maji na malisho na kusababisha utovu wa usalama maeneo hayo.