![KIPYENGA CHA MWISHO 02/12/2021 | Utata 'goli' la Geita Gold dhidi ya Simba](/images/yt/ny/kipyenga-cha-mwisho-02122021-utata-goli-la-geita-gold-dhidi-cicen.jpg)
KIPYENGA CHA MWISHO 02/12/2021 | Utata 'goli' la Geita Gold dhidi ya Simba
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=nY7cIcENhNc
Ndani ya kipindi hiki, mwamuzi Mstaafu Osman Kazi anachambua matukio yote yaliyokuwa na utata katika mechi za raundi ya saba ya ligi kuu ya NBC, kubwa ikiwa ni utata wa kile kinachodaiwa kuwa ni goli la Geita Gold dhidi Simba. Je, mwamuzi Martin Saanya alikuwa sahihi?
Tunaanza na makosa yanayostahiki kadi ya njano dimbani. Je, nini maana ya adhabu ya kadi ya njano? Tazama kipindi.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
Kipyenga cha mwisho
michezo kazi
Gilbert Johanes
uchambuzi
refree
yellow card
kadi ya njano
Simba
goal
Simba vs Geita