Magoli | Tanzania 3-2 Burundi | Kufuzu Kombe la Dunia Wanawake U20 - 04/12/2021
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=UW9AugCq84A
TANZANITE VS BURUNDI: Haya hapa magoli yote matano, timu ya taifa ya wanawake (The Tanzanite) ilipoitwanga Burundi mabao 3-2 katika mchezo wa mkondo wa kwanza kuwania kufuzu fainali za Kombe la Dunia.
Magoli ya Tanzania yamefungwa na Clara Luvanga dakika ya 9', Joyce Lema dakika ya 15', Aisha Masaka dakika ya 44' wakati Burundi wakijipatia magoli yao kupitia kwa Estella Gakima dakika 22' pamoja na Noella dakika ya 58'.
Mechi imepigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
Tanzania
Burundi
Tanzania wanawake
women football
Tanzanite
soccer
Tanzania vs Burndi
Women U20 World cup Qualifires
Chamazi