![Mufti asisitiza amani na ushirikiano baina ya waumini wa dini tofauti](/images/yt/w2/mufti-asisitiza-amani-na-ushirikiano-baina-ya-waumini-wa-8iysd.jpg)
Mufti asisitiza amani na ushirikiano baina ya waumini wa dini tofauti
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=W218iySdasE
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir amewataka viongozi wa dini na waumini wa kiislam kuishi kwa amani na waumini wa dini nyingine kwasababu Tanzania ni nchi ya amani na kimbilio la wananchi wa mataifa mengine.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
UTV
Mufti
Islam
Abubakar Zubeir
Shaka Hamdu Shaka