Muuguzi anayedaiwa kumsaidia mwanafunzi kutoa mimba kubaki kizimbani huko Kibwezi
Channel:
Subscribers:
4,840,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=_Z_bQYvsGRI
Muuguzi anayedaiwa kumsaidia mwanafunzi wa shule ya upili ya Kyaani huko Kibwezi kaunti ya Makueni kuavya mimba ataendelea kuzuiliwa na polisi alisubiri kesi hiyo kutajwa tena mwezi ujao. Mwanafunzi huyo anadaiwa kubakwa kabla ya kupata mimba na bado anapokea matibabu baada a afya yake kudhoofika zaidi. Muuguzi huyo alishtakiwa kwa makosa matatu yanayohusiana na kisa hicho ambacho kimevutia hisia kali kutoka kwa viongozi wa kaunti hiyo.