Rais Ruto alegeza makali yake kwa mahakama
Channel:
Subscribers:
4,820,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=OSy2evRAL5E
Rais William Ruto ameonekana kulegeza msimamo wake kuhusu mashambulizi yake ya punde dhidi ya idara ya mahakama. Rais ambaye alizungumza kaunti ya uasin gishu sasa akitoa wito wa ushirikiano kati ya idara tatu za serikali, japo ameshikilia kuwa ni sharti kesi zinazowasilishwa mahakamani kusambaratisha mipango ya serikali zikabiliwe.