Sababu za Wallace Karia kuwa mgombea pekee wa urais TFF

Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=JCsgWOt1d2I



Duration: 11:47
1,324 views
2


UCHAGUZI MKUU TFF; Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka nchini Tanzania (TFF), yawaondoa wawili katika kinyang’anyiro cha kuwania nafasi ya Urais wa shirikisho hilo kuelekea uchaguzi mkuu utakaofanyika Agosti 7, 2021.

Huyu hapa Mwenyekiti wa kamati hiyo, Benjamin Karume akitaja sababu za wawili hao kukatwa, huku Wallace Karia akisalia kama mgombea pekee kwenye nafasi hiyo.

#UchaguziTFF #UchaguziMkuuTFF #WallaceKaria

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz




Other Videos By Azam TV


2021-07-01Shabiki wa Simba Mzee Muchacho asema atanyoa nywele Yanga ikishinda
2021-07-01MSHIKEMSHIKE VIWANJANI | AZAM TV | 30/06/2021
2021-06-30WEDNESDAY NIGHT 30/6/2021 | Simulizi jengo la Yanga ikitolewa na mtoto wa Mangara
2021-06-30LIVE: TAARIFA YA HABARI, AZAM TV, SAA 2: 00 - JUMATANO 30/06/2021
2021-06-30Tambo za Haji Manara kuelekea mpambano wa Simba Vs Yanga - 30/06/2021
2021-06-30BUNGE LIVE: WAZIRI MKUU ANAAHIRISHA BUNGE - 30/06/2021
2021-06-30MSHIKEMSHIKE VIWANJANI | AZAM TV | 29/06/2021
2021-06-30LIVE : MORNING TRUMPET AZAM TV - 30/06/2021
2021-06-29PROF MATTHEW LUHANGA - MAKAMU MKUU MSTAAFU WA UDSM NA MAPINDUZI YA ELIMU NCHINI
2021-06-29LIVE : TAARIFA YA HABARI, AZAM TV , SAA 2: 00 USIKU HUU - JUMANNE , 29/06/2021
2021-06-29Sababu za Wallace Karia kuwa mgombea pekee wa urais TFF
2021-06-29AZAM FC TV 29/06/2021 | Vijana wa Chamazi walivyouteka mji wa Songea
2021-06-29Highlights | Simba SC 1-1 Azam FC (Pen 4-1) | U20 Premier League 19/06/2021 (Mshindi wa Tatu)
2021-06-29Ruvu Shooting 1-1 Polisi Tanzania | Highlights | VPL 24/06/2021
2021-06-29LIVE : ADHUHURI LIVE AZAM TV - 29/06/2021
2021-06-29SOKA KIJIWENI 28/06/2021 | Emmanuel Kichiba, Michael Masinda wa Ihefu wasifu mabilioni ya Azam
2021-06-29HUDUMA ZA AFYA | Hospitali ya Kisarawe yapokea msaada wa damu
2021-06-29BUNGE LIVE: KIPINDI CHA MASWALI NA MAJIBU - 29/06/2021
2021-06-29MSHIKE MSHIKE VIWANJANI | AZAM TV | 28/06/2021
2021-06-29LIVE : MORNING TRUMPET AZAM TV - 29/06/2021
2021-06-28LIVE | TAARIFA YA HABARI, AZAM TV, SAA 2:00 USIKU - JUMATATU, 28,2021



Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
TFF
uchaguzi
Karia
Benjamin Karume
soka
Tanzania