PROF MATTHEW LUHANGA - MAKAMU MKUU MSTAAFU WA UDSM NA MAPINDUZI YA ELIMU NCHINI
Channel:
Subscribers:
2,630,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=Y_LBpqoC_pM
Profesa Matthew Luhanga ni Makamu Mkuu mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) aliyehudumu kwa mafanikio makubwa chuoni hapo.
Mbali ya wadhifa huo pia ni mtaalamu mbobezi wa uhandisi.
Jaafar Mponda amezungumza nae kwenye ZUMARI ili kufahamu mengi ikiwemo mchango wake katika kuwasaidia vijana kielimu kupitia falsafa mbalimbali ambazo yeye (Profesa Luhanga) anaziamini.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
UTV
UDSM
Profesa Matthew Luhanga
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
Elimu
Vijana
Maendeleo
Sayansi
Zumari
Jafari Mponda