Sahili Geraruma ataka wasimamizi mradi wa kituo cha afya Tongoni - Tanga kujitathmini
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=5gXpi13IMLk
Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Sahili Geraruma amewataka viongozi wanaosimamia mradi wa kituo cha afya Tongoni kilichopo halmashauri ya jiji la Tanga kujitathmini kwa kufanya kazi kwa uzalendo ili kutekeleza kwa umakini miradi inayotolewa fedha na Serikali.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
Sahili Geraruma
Mbio za Mwenge
Miradi ya Mwenge
Miradi Tanga