SENSA || Wafanyabiashara wahimizwa kuweka nembo ya Sensa kwenye bidhaa zao ili kuhamasisha jamii
Channel:
Subscribers:
2,600,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=0cV-p3ozmyc
Mwenyekiti wa Kamati ya Ushauri ya Sensa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. John Jingu amesema kuwa maandalizi ya kufanyika kwa sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu yanaenda vizuri na tayari yamefika asilimia 80 na amewataka wafanyabiashara kutoa ushirikiano wa kutosha ili kufanikisha zoezi hilo kwa asilimia 100 nchini kote.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
UTV
Sensa Tanzania
John Jingu