Tanzania Prisons 3-1 Namungo FC | Highlights | NBC Premier League 27/11/2021
Channel:
Subscribers:
2,620,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=916Vyzhv38o
TZ PRISONS 3-1 NAMUNGO: Jeremiah Juma Ali wa Tanzania Prisons ndiye amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga magoli matatu kwenye mchezo mmoja ( #Hattrick), akiingoza timu yake kuichapa namungo FC mabao 3-1.
Katika mchezo huu wa #NBCPremierLeague uliochezwa kwenye Uwanjua wa Nelson mandela Sumbawanga, Jeremiah ametumia dakika 26 pekee za kwanza kufunga magoli hayo matatu huku namungo wakijipatia bao lao pekee kupitia kwa Bigirimana Blaise.
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
Tanzania prisons
Prisons vs Namungo
ligi kuu
Tanzania
Bara
soka
magoli
Namungo FC
goals
NBC Premier League
Sumbawanga