Kilifi yashirikiana na wakfu wa M-Pesa na AMREF kuboresha huduma za afya
Channel:
Subscribers:
4,770,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=zS5kHG2OfZI
Ni afueni kwa akina mama wajawazito kutoka kijiji cha Ngomeni, eneo la Junju kaunti ya Kilifi baada ya uzinduzi wa wodi ya wanawake katika zahanati ya Junju.