Jamii ya Wasomali wanakabiliwa na changamoto ya utoaji vitambulisho
Channel:
Subscribers:
4,770,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=fnYzB3Fah6E
Jamii ya Wasomali wanaoishi Maungu eneobunge la Voi kaunti ya Taita Taveta wanalalamikia shughuli ya utoaji wa vitambulisho wakisema kuwa wanapata changamoto kubwa za kupewa vitambulisho licha ya kuishi eneo hilo kwa zaidi ya miaka 30. Hali hiyo imewafanya kuhisi kutengwa na serikali kuu na ile ya kaunti.