Wakazi wa Makueni watakiwa kutumia msimu huu wa mvua kupanda miti
Channel:
Subscribers:
4,770,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=SXGS6kEFyUQ
Wakazi wa kaunti ya Makueni wametakiwa kutumia msimu huu wa mvua kupanda miti kwa wingi katika harakati za kukabili mabadiliko ya tabia nchi. imebainika kuwa uharibifu wa misitu kwenye kaunti hiyo umepungua kwa kiasi kikubwa kufuatia kuanzishwa kwa vikundi vya kijamii vya kutunza misitu.