Wafugaji Laikipia wahimizwa kuanza kufuga nguruwe kama njia mojawapo ya kujiinua kimaisha
Channel:
Subscribers:
4,770,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=EdSAJ75E_t0
Kama njia mojawapo ya kujiinua kimaisha, wakulima wanaoishi katika mipika ya Laikipia na Baringo ambao mifugo yao imekuwa ikiibiwa, wametakiwa kuanza kufuga nguruwe balada la ng'ombe na mbuzi.