MIZANI YA WIKI: Uandikishaji wapiga kura wa uchaguzi wa serikali za mitaa 20/10/2019
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=l7Fvlnjt7xk
Baada ya kukamilika kwa zoezi la uandikishaji wa wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika novemba 24 mwaka huu tumetaka kufahamu nini kilitokea hadi serikali kulazimika kuongeza siku ili wananchi wajitokeze kujiandikisha zaidi.
Nurdin Selemani yuko na Martin mung'ong'o na Barua Mwakilanga wakitazama kiundani suala hilo.
mizani ya wiki huruka kila Jumapili kuanzia saa 2:30 usiku kupitia UTV.
Other Videos By Azam TV
Tags:
UTV
Nurdin Selemani
Siasa
Mijadala
TAMISEMI
Uchaguzi
Serikali za mitaa