MIMBA KWA WANAFUNZI RUKWA: Kura za maoni kupigwa kuwabaini wakware
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=dFZQlMWlONM
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Joachim Wangabo anatarajia kuunda tume ya ufuatiliaji wa tatizo la mimba kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari mkoani humo, baada ya kuonekana vitendo hivyokuendelea kuota mizizi.
#AzamTVUpdates #AzamNews #UTV