Mtambo wa vichuja hewa ya magari wasimikwa Arusha
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=omc4VmyiCCg
Mtambo maalum wa vichuja hewa ya magari umesimikwa katika Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela jijini Arusha ikitajwa kuwa ni teknolojia ya kwanza katika nchi za Afrika Mashariki.
#AzamTVUpdates #AzamNews #UTV