Maelfu ya wagonjwa wa midomo sungura na majeraha ya moto wadhaminiwa matibabu na GGM
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=weKhZU-6RDQ
Wagonjwa 1717 wa mkoa wa Geita na mikoa ya jirani wamefanyiwa upasuaji wa midomo sungura kwa ufadhili wa mgodi wa dhahabu Geita GGM kwa kipindi cha miaka 17 iliyopita,
Akizungumza wakati wa kuwaaga wagonjwa wengine 25 wanaopelekwa hospitali ya Sekou Toure jijini Mwanza kwa watu wenye matatizo ya midomo sungura na wale wenye makovu yaliyosababishwa na ajali za moto kaimu mkurugenzi mtendaji wa GGM Brad Catto amesema mgodi umetumia zaidi ya bilioni 717 kwa ajili ya upasuaji wa matatizo hayo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Geita
GGM
Geita Gold Mine
Midomo Sungura