MBAO FC 0-1 YANGA SC: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (VPL - 22/10/2019)
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=CNVU53cYplo
Timu ya Yanga imeendeleza ubabe kwa Mbao FC ya jijini Mwanza baada ya kuifunga bao 1-0 katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara uliochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Katika mchezo huo goli pekee la Yanga limefungwa na Sadney Ulikhob na kuwapa furaha mashabiki wa Yanga waliokuwa uwanjani hapo wakifatilia mchezo huo.
Other Videos By Azam TV
Tags:
Mbao vs Yanga
Sadney
soka
goal
VPL
Kirumba
Yanga
Mbao