Mtambo wa kusafisha maji ya mabwawa wazinduliwa Monduli
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=jVg877aEsL4
Mradi wa kuchuja na kutakasa maji ya mabwawa kwa kutumia mitambo maalumu unatarajiwa kuwa suluhisho la kudumu na kuwaondolea adha wakazi wa baadhi ya vijiji vya Wilaya ya Monduli mkoani Arusha waliokuwa wakilazimika kutembea umbali mrefu porini kwaajili ya kufuata huduma ya maji safi na salama.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports