Magoli | Gwambina FC 2-0 Dodoma Jiji | VPL 23/06/2021
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=s0nsRAO5hEs
Gwambina FC imeanza kufufua matumaini ya kusalia ligi kuu baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Dodoma Jiji FC, mchezo ukipigwa kwenye Uwanja wa Gwambina Complex, wilayani Misungwi mkoani Mwanza.
Magoli ya Gwambina yamefungwa na Paul Nonga pamoja na Gustapha Saimon. Yatazame hapa.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamtvtz/
►INSTAGRAM: https://www.instagram.com/azamsports2/
►TWITTER: https://twitter.com/azamtvtz
►FACEBOOK: http://www.facebook.com/azamtvtz
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz
Other Videos By Azam TV
Tags:
azamtv
azamtvmax
azamsports
Gwambina FC
Dodoma Jiji FC
Gwambina vs Dodoma
Gwambina vs Dodoma FC 2-0
Ligi kuu Tanzania Bara
Vodacom Premier League
VPL
michezo
soka
magoli
Goals
Tanzania
soccer
football