Pyramids yatua Mwanza, kocha wao aikubali Yanga
Channel:
Subscribers:
2,640,000
Published on ● Video Link: https://www.youtube.com/watch?v=5r-2vgU3gtQ
Kikosi cha Timu ya Pyramids kutoka Misri kimewasili salama jijini Mwanza tayari kwa mchezo wao dhidi ya Yanga utakaochezwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini humo.
Akizungumza kwenye uwanja wa ndege wa Mwanza mara baada ya kuwasili, kocha wa timu hiyo Sebastian Desabre amesema anafahamu ubora kikosi cha Yanga hivyo wamefanya maandalizi ya kutosha kuhakikisha wanarejea kwao na alama tatu kibindoni.
Kocha Desabre pia amezungumzia suala la mchezo huo kupelekwa jijini Mwanza badala ya Dar es Salaam