Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Views:
372,937,436
Subscribers:
1,310,000
Videos:
27,738
Duration:
141:23:21:33
Kenya
Kenya

Simulizi Na Sauti is a YouTube content creator with over 1.31 million subscribers. His content totals over 372.94 million views views across roughly 27.74 thousand videos.

Created on ● Channel Link: https://www.youtube.com/channel/UC5kGMWL-g-T1n4inkrpNAmQ





All Videos by Simulizi Na Sauti



PublishedVideo TitleDurationViewsCategoryGame
2023-05-08Hii ndiyo sababu iliyopelekea ugomvi hadi Chris Brown kumpiga Usher Raymond hadi kumjeruhi vibaya4:3033,048
2023-05-08Drake ahoji kama asili yake ni Nigeria baada ya kuweka uthibitisho wa asili ya Baba yake toka Afrika2:465,552
2023-05-08HARMONIZE adai wanaume wanamchukulia poa HAMISA MOBETTO wanashindwa kumlilia wanamficha3:5921,630
2023-05-07Baada ya Davido, Don Jazzy naye apagawa na Single Again ya Harmonize2:4428,474
2023-05-07BABA LEVO ampa moyo HARMONIZE baada ya show ya INDIANAPOLIS kupata mahudhurio hafifu 'Never Give Up'15:5624,944
2023-05-07Mashabiki wamponda Kajala kwa video hii akicheza na Marioo 'Mama mkwe gani anaonesha kitovu nje?2:5420,040
2023-05-07Mama azipeleka kwenye kaburi tuzo nne za Metro FM ambazo AKA alishinda Jumamosi1:347,003
2023-05-07Wakenya waungana kumchangia fedha rapper Colonel Mustapha, hadi Jumamosi alikuwa amepata kiasi hiki6:036,306
2023-05-07SnS ndani ya Phoenix, AZ kwenye uzinduzi wa MK Beauty Skin Care, ifahamu MK International Store26:221,663
2023-05-07Fix You: Sababu zinazofanya watu kusaliti mahusiano, kwanini zinatofautiana, wanaume na wanawake1:03:352,728
2023-05-07Marehemu AKA achukua tuzo 4 za Metro FM, mwanae awaliza wengi baada ya kuimba wimbo wake3:3815,133
2023-05-07Exclusive na Mshindi wa UNI TALENT, Unaweza kusema ni Pacha wa MIMI MARS jinsi walivyofanana, balaa10:083,334
2023-05-07Huyu ndiye Mshindi wa UNI TALENT aliyesepa na kitita cha Milion 10,Tazama walivyotangazwa Top 5 yote17:071,325
2023-05-07Kwa mara ya kwanza WAKAZI afunguka chanzo cha UGOMVI wake na ROMA, amrarua kama SIMBA mwenye NJAA10:5618,180
2023-05-06Daktari tegemezi na aliyesifika kwa kuokoa wengi Nyamongo, Tarime auawa kikatili baada ya kutekwa3:179,985
2023-05-06DAVIDO na mkewe wapagawa na SINGLE AGAIN ya HARMONIZE, watuma ujumbe huu kwa KONDE BOY2:5330,415
2023-05-06Vuta Nikuvute ya Wabongo na Wakenya ni gumzo TIKTOK, watunishiana MISULI kwa kutambiana23:079,928
2023-05-06WINO-WE KNOW: SINGLE AGAIN kuhit ni mahitaji ya mashabiki ila Harmonize aliiaminia OUTSIDE zaidi22:5511,099
2023-05-0650 Cent kukinunua chombo kikubwa cha habari na burudani BET akishirikiana na miamba hawa wawili2:463,314
2023-05-06QUEEN DARLEEV VS SABRA mke wa ISIHACK: washambuliana kwa maneno makali mtandaoni5:0310,681
2023-05-06Snoop Dogg awataka wasanii kususia maduka ya muziki, "unapata STREAMS bilioni usilipwe hata milioni"2:598,224
2023-05-06Ukweli kuhusu jaribio la kumuua Vladmir Putin kwa kutumia drone13:4928,947
2023-05-06Charles III atawazwa rasmi kuwa Mfalme wa Uingereza1:373,495
2023-05-06Jeshi la Polisi latoa ufafanuzi kifo cha Mwanafunzi Chuo Kikuu cha Dodoma2:095,252
2023-05-06Chuo Kikuu cha Dodoma chatoa taarifa rasmi kuhusu kifo cha mwanafunzi kilichozua utata mtandaoni2:4123,517
2023-05-05Junior Talent ashuhudia madhara ya Kimbunga kilichopiga huko Iowa Marekani April, 2023, ni balaa14:241,348
2023-05-05Si kwa barafu na baridi hili: Road trip ya Junior Talent kwenda Iowa City Marekani14:424,355
2023-05-05Junior Talent akutana na Ombaomba wa Marekani, afunguka A to Z maisha yao yalivyo magumu16:183,420
2023-05-05Rushaynah ampiga dongo Manara, adai ana sura 'personal na hana hela'2:0212,413
2023-05-05Junior Talent alijaribu kutafuta 'Chips Mayai' Marekani, alichokutana nacho ni balaa tupu!24:325,401
2023-05-05WHO: COVID 19 sio tena ‘Dharura ya Kiafya Duniani’1:25958
2023-05-05Lionel Messi afunguka baada kusimamishwa wiki mbili na PSG, awaomba radhi wachezaji wenzake2:067,003
2023-05-05Hii ni video inayoonesha angle tofauti jinsi dereva huko Kenya alivyookolewa kwa Helikopta mtoni1:005,063
2023-05-05HARMONIZE atangaza kuanza kutoa wimbo mpya kila ijumaa kwa muda wa mwezi mmoja2:2610,690
2023-05-05Leah, Jaji wa Uni Talent Show afunguka fainali za Jumamosi hii zilivyo ngumu na ushindani mkubwa16:21408
2023-05-05O2 ARENA ni ya Wanigeria, baada ya Rema kutangaza kutumbuiza, Asake atangaza tarehe yake pia2:431,861
2023-05-05LAVA LAVA agonga mwamba WCB? mashabiki wamuandama, ZUCHU, MBOSSO wazidi kupiga hatua24:3628,500
2023-05-05Kanye afungua ofisi za YEEZY karibu na ofisi za ADIDAS, wao wafunguka "kumtema imewatafuna sana"3:188,673
2023-05-05Sadio Mane kutimkia Chelsea, Pochetino afunguka haya kabla ya kuanza kibarua1:507,343
2023-05-04Ed Sheeran ashinda kesi iliyokuwa ikimkabili ya kukopi wimbo wa Mavin Gaye ‘Let's Get It On’1:395,126
2023-05-04Single again yampa ushindi mkubwa HARMONIZE nchini Marekani, tour yake yaonesha mabadiliko makubwa18:5425,415
2023-05-04PAULA anamtumia MARIOO kumuumiza RAY VANNY? Haya ni mabadiliko makubwa kwa TOTO BAD18:116,693
2023-05-04Masanja: Mshahara ninaolipwa EFM kuna watu na ukoo wao hawatengenezi hiyo hela2:448,585
2023-05-04P Square wagoma kutaja sababu ya kundi lao kuvunjika, wadai ni Mungu ndiye aliyewaunganisha tena2:594,975
2023-05-04Kisa uvutaji wa Sigara, Doja Cat hatarini kutemwa onesho la MET GALA, waandaaji wachukizwa2:592,057
2023-05-04Timbaland atimiza ndoto kwa kufanya kolabo na B.I.G kwa kutumia sauti yake kwa teknolojia ya AI3:57778
2023-05-04NANDY kukosa TUZO, Ni kweli amepoteza MVUTO na hana ushawishi? NDOA na mtoto ni sababu?19:166,351
2023-05-04Bwana Harusi huyu atrend Bongo kwa kupiga picha akiwa amesimamia kichwa chake1:235,278
2023-05-04FAIZA amlipua MANGE KIMAMBI baada ya kuzushiwa utapeli, 'hajitambui, ni upweke umamsumbua, asaidiwe'14:2512,118
2023-05-04KENYA: Dereva wa LORI la mafuta alivyookolewa kwa HELIKOPTA kwenye MTO uliokuwa umefurika,kama movie4:3123,230
2023-05-04Shabiki Arsenal aponzwa na vitochi vya kijani,akamatwa na polisi,Arsenal yatoa kauli hii nzito2:052,839
2023-05-04Aliyempiku Mayele kiatu cha dhahabu ligi kuu Tz ajutia maamuzi yake,ligi anayocheza yafutwa2:175,670
2023-05-04Mashabiki waingiwa na imani kumuona Rapper wa Kenya Colonel Mustafa amegeuka kuwa fundi ujenzi2:0022,715
2023-05-04Ukweli usioujua kuhusu biashara ya FOREX, Prioh 360 aeleza kwanini wengi WANAFELI au kuwa MATAPELI21:028,551
2023-05-04Hizi ndizo faida kuu za kutangaza Biashara yako Mtandaoni (Digital Marketing)10:32882
2023-05-042 Pac wa Ghana azikwa mwezi mmoja baada ya kufariki, mama yake akana madawa ya kulevya kuwa chanzo2:116,404
2023-05-04Je! iPhone inaweza kuathiriwa na maji? Ni rahisi kujua! Usidanganywe tena!3:26342
2023-05-04Drake anauuza mjengo wake kwa bilioni 200, una ukubwa wa hekari 20 na vitu hivi vya kifahari2:193,831
2023-05-04Klopp matatani kwa kumfanyia haya refa huyu,apewa siku hizi kujieleza kwanini asiadhibiwe2:071,614
2023-05-04Kujua kama iPhone imebadilishwa kioo? Battery? Camera? Usiuziwe tena mbuzi kwenye gunia10:061,267
2023-05-04Jinsi ya kujua refurbished iPhone OG! Na used za mtaani! Active & Non active!9:551,009
2023-05-04Messi kutimka PSG,adhabu yakoleza moto,awaarifu mabosi wake,anakwenda huku1:456,161
2023-05-04Forbes wamtaja Ronaldo kuongoza kwa kitita hiki kuliko wachezaji wote,amfunika Messi1:434,463
2023-05-03Binti wa Mugabe alikuwa anamiliki mijengo yenye thamani ya TZS Bil.1922:018,753
2023-05-03Hizi ndizo Fursa 10 zinazoweza kupatikana kwenye teknolojia ya Blockchain25:231,281
2023-05-03Kauli ya klabu ya Simba baada ya kulazimishwa sare na Namungo,wengine wamlaumu huyu1:472,908
2023-05-03SHARIFA: Kutoka UIGIZAJI hadi kutengeneza bidhaa zake mwenyewe za VIPODOZI, avionesha na kuvichambua51:542,693
2023-05-03Siku 30 za nusu KIFO kwenye Maficho Melini, kama KOMANDO avuka Nyaya za umeme MPAKANI, atupwa JELA1:00:444,032
2023-05-03TV ni DStv hakika hii ni kubwa kuliko, MAKUBWA yaletwa mlangoni kwako, Usikubali kupitwa na hili15:501,086
2023-05-03Wenye hisa waishitaki Adidas kwa kuamua kusitisha mkataba na Kanye West na kupelekea hasara kubwa2:516,875
2023-05-03Wizkid kuandika historia kwa kutumbuiza kwenye ARENA inayojaza mashabiki elfu 40 nchini Ufaransa2:222,197
2023-05-03NAIRA wa JUA KALI amuumbua mpiga picha wa JUX, aanika meseji zake akimlilia warudiane2:529,504
2023-05-03MARIOO akiri kupagawa na penzi la PAULA, adai ni chakula yake, aweka video hii nakuandika mazito2:428,131
2023-05-03Arteta achekelea ,aliyoyasema yatimia,Chelsea sasa waporomoka hadi nafasi hii baada ya kipigo2:113,236
2023-05-03Wanigeria wapinga Swizz Beatz na Akon kudai wao wamewatambulisha Davido,Wizkid na Burna Boy Marekani10:466,054
2023-05-03Haaland kuwa mchezaji ghali zaidi duniani kwa haya,wakala wake atoa tangazo hili la tishio kwa anaye1:433,127
2023-05-03PENZI jipya? HAMISA MOBETTO na afisa habari wa YANGA (ALI KAMWE) wazua maswali baada ya kufanya hili3:1410,580
2023-05-03Ed Sheeran kuacha muziki kisa kesi ya kuiba vionjo vya wimbo wa Marvin Gaye, kulipa bilioni 2343:214,753
2023-05-02Alikiba aweka ngoma ya Diamond, Zuchu,Mbosso kwenye playlist yake ya Apple Music Bongo Flava Origins8:0558,624
2023-05-02Lionel Messi asimamishwa na PSG kutokana na safari yake ya Saudi Arabia0:595,713
2023-05-02ALIKIBA kuiwakilisha BONGO FLAVA kwenye ‘Origins’ ya APPLE MUSIC kusherehekea mwezi wa Afrika3:195,432
2023-05-02Professor J afunguka kwa mara ya kwanza tangu January 2022 ' Hali yangu ilikuwa mbaya isiyoelezeka'3:4010,457
2023-05-02Vazi hili la Rihanna kwenye MET GALA kila Ua moja limetumia masaa 30 kutengenezwa3:3112,530
2023-05-02HARMONIZE adai siku akilewa anaweza kusema kilichovunja penzi lake na KAJALA, na hatahitaji ushauri2:5412,742
2023-05-02ZAMARADI azindua TV yake,atamani kulia mbele ya Waandishi kwa furaha,itapatikana King'amuzi cha Azam13:391,522
2023-05-02Uganda: Bodyguard amuua kwa risasi Waziri aliyekuwa akimlinda1:353,016
2023-05-02Brazil bado wanamkomalia Ancelloti kwa hili,rais asema haya,aweka msimamo huu2:082,551
2023-05-02RAY VANNY atamba baada ya kumshusha DIAMOND kwenye charts za You Tube za mwezi wa nne, aandika haya3:087,630
2023-05-02Mke Vs Baby Mama: FAIZA na mke wa SUGU (HAPPYNESS) wafanya haya kwenye siku ya kuzaliwa ya TAITA3:3711,211
2023-05-02NINI TATIZO? Tanasha Donna aweka wazi mpango wa kuhama Kenya na kwenda kuishi taifa jingine1:4011,247
2023-05-02Baada ya Burna Boy, Wizkid na Davido ni zamu ya Rema kutumbuiza O2 ARENA mbele ya mashabiki elfu 202:031,689
2023-05-02Lil Wayne auzuia msafara wa TOUR yake ili mpishe wake ampikie chakula, yeye si mpenzi wa FAST FOOD1:598,066
2023-05-02Man U wanamtaka Hakimi wa Psg,yule alomzidi akili mkewe,,kinachoendelea ni hiki2:383,374
2023-05-02Tiwa Savage kutumbuiza kwenye kasri la Uingereza baada ya kutawazwa kwa Mfalme Charles wa tatu2:081,421
2023-05-02Burna Boy, Tems, Rihanna, Dr Dre, Cardi B, na mastaa wengine walivyopendeza tamasha la MET GALA1:563,133
2023-05-02Kitaa Changu: Wanaume wa Tandale ni wambea kuliko wanawake, kinamama wawachana 'wamezidi'24:02890
2023-05-02Kocha Arsenal atoa maneno haya ubingwa EPL kabla ya kuwavaa Chelsea leo,aitaja Man City kwa hili1:351,619
2023-05-02PART 1- Aishi na MZIMU kama Pacha wake, atupwa MSITUNI kwa mateso MAKALI, Ala majani kama MNYAMA1:22:161,872
2023-05-02Hii ndio hali ya wachezaji yanga baada ya ndege yao kushindwa kutua Dodoma na kurudi Dar tena1:432,893
2023-05-02Majay amchukua banker, staa wa Twitter na rapper wa zamani kuziba pengo la Gerald Hando EFM8:0337,986