Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Views:
372,937,436
Subscribers:
1,310,000
Videos:
27,738
Duration:
141:23:21:33
Kenya
Kenya

Simulizi Na Sauti is a YouTube content creator with over 1.31 million subscribers. His content totals over 372.94 million views views across roughly 27.74 thousand videos.

Created on ● Channel Link: https://www.youtube.com/channel/UC5kGMWL-g-T1n4inkrpNAmQ





All Videos by Simulizi Na Sauti



PublishedVideo TitleDurationViewsCategoryGame
2022-07-08Qatar yaruhusu vilevi kombe la dunia, yakubaliana na mabosi wa Fifa, kuweka ulinzi mkali kwa walevi1:541,527
2022-07-08Waliong'ara tuzo za ligi kuu NBC hawa hapa, Yanga yatisha, Coastal Union nao wamo3:411,524
2022-07-08Ronaldo kutojiunga na wachezaji wenzake Man U kwenye mechi za maandalizi kisa hiki2:052,660
2022-07-08Waziri mkuu Japan ashambuliwa kwa risasi kwenye mkutano wa kampeni, hali yake bado utata2:231,247
2022-07-08Akiwa na watoto watano, Akothee hataki kuzaa na mwanaume tena, kupandikizwa mbegu ili apate ujauzito2:092,337
2022-07-07Wafahamu Nyoka 4 Hatari na wenye sumu kali zaidi wapatikanao Tanzania14:2145,506
2022-07-07Meneja wa Awilo afunguka alivyotumia Mil.500 kwenye movie aliyoigiza Harmonize, Awilo, H.Baba30:1312,416
2022-07-07VITUKO vya HARMORAPA na SPIDER MAN wa Bongo, Vazi lake lawashangaza wengi, Utacheka1:3910,770
2022-07-07NANDY aonesha tumbo lake la UJAUZITO kwa mara ya kwanza, BILLNASS aandika haya kumshukuru3:0122,462
2022-07-07MAI ZUMO asimamisha Umati wa watu, Mtazame akiwa Jukwaani akionyesha Ukali wake kwenye kucheza1:177,642
2022-07-07Waziri UMMY MWALIMU atoa Pongezi nzito kwenda kwa ZAMARADI baada ya kufanya tukio hili kubwa5:58859
2022-07-07MASHA LOVE Uso kwa Uso na Mzungu kutoka Umoja wa Mataifa, Tazama akipiga nae Kimombo, Utapenda8:204,372
2022-07-07NOMA! Tazama ZAMARADI alivyomleta Waziri Ummy Mwalimu kwenye Maonyesho ya Sabasaba, wasanii wampokea4:041,016
2022-07-07Hukumu ya Hushpuppi yaahirishwa, alipaswa kuhukumiwa mwezi huu, yasogezwa mbele hadi September1:012,676
2022-07-07Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson ajiuzulu1:092,239
2022-07-07Diamond alivyopewa heshima kwenye party ya utamaduni wa Brazil kwenye klabu ya Ufaransa4:447,912
2022-07-07Elon Musk afikisha watoto tisa baada ya kubainika alimzalisha mapacha mfanyakazi wa kampuni yake1:332,210
2022-07-07Harmonize atangaza Kajala kuanza kazi kama meneja wake leo July 7, aandika haya2:224,496
2022-07-07Diamond na Wizkid ni upendo tu licha ya mashabiki wa Wiz kumshambulia baada ya kuonekana pamoja3:5963,655
2022-07-07Leo ni birthday ya Tanasha, Fahyma, hizi ndo picha mpya walizoweka na mastaa waliowapongeza2:5710,845
2022-07-07DIAMOND aingia studio na msanii FOCALISTIC wa S.A kwa mara nyingine tena, aweka video hii2:0210,041
2022-07-07Beyonce kuwapiga chini wasanii na watayarishaji kwenye album yake wanaoandamwa na makosa ya ubakaji1:111,381
2022-07-07Aliyemuua rapper Nipsey Hustle mwaka 2019 akutwa na hatia ya kumpiga risasi 10, kuhukumiwa september1:112,627
2022-07-07Kenya yashika nafasi ya tatu ulimwenguni kwa upachikaji mimba za utotoni, serikali yasema haya2:182,387
2022-07-07UTAIPENDA: Mrema awawakia wanaosema ataachwa, asema haachwi mtu mpaka kifo, watasubiri sana3:15993
2022-07-07Vijana 21 waliofariki kwenye klabu ya usiku Afrika kusini kuagwa, Rais ataka umri wa unywaji pombe2:181,842
2022-07-07Achana na Panya Magawa,hawa hapa wengine tisa wenye uwezo wa ajabu zaidi kutoka Tanzania3:151,337
2022-07-07Msanii BAHATI afukuzwa kwao MATHARE baada ya kukataliwa kugombea nafasi ya UBUNGE5:123,488
2022-07-07STIVO SIMPLE BOY atinga airport na MAUA kumpokea GUCHI wa Nigeria, ajibu kuhusu kumtaka kimapenzi5:251,765
2022-07-07Msanii GUCHI aliyemshirikisha RAY VANNY kwenye JENNIFER atua KENYA, tazama mapokezi yake9:013,368
2022-07-06Dj Khaled atumia Kiswahili na lugha zingine duniani kupromote album yake ijayo, GOD DID2:2156,821
2022-07-06Mtanzania ahojiwa na BBC Radio kuhusu michuano ya Commonwealth, afunguka sifa na uzuri wa Tanzania8:591,836
2022-07-06Mrembo ALIYEKATWA Miguu yake afunguka Mapya, Kupata Mtoto,Utashangazwa na alichokifanya Mchumba wake34:1937,802
2022-07-06Billnass athibitisha kwa picha kuwa Nandy ni Mjamzito, siku chache kabla ya harusi yao1:2411,860
2022-07-06KRIZ BEATZ: DIAMOND ni mtu wa tofauti sana, nilimjua HARMONIZE kupitia SALLAM-SK, WCB ni familia18:3724,735
2022-07-06Kanye West kuzalisha magari ya ajabu? aonesha mfano wa gari hili linaloendeshwa kidijitali2:225,225
2022-07-06J Balvin, Ed Sheeran, Kehlan, Blast, J Hus, Khalid ndani ya album ya Burna Boy LOVE DAMIN2:102,962
2022-07-06Marioo hawezi kumdai pesa Tik toker Moya David kwa kutumia wimbo wake wa Mi Amor "anatafuta riziki"2:2011,943
2022-07-06Eddy Kenzo amponda na maiki kwa hasira shabiki yake baada ya kumwagiwa kinywaji wakati akitumbuiza1:485,709
2022-07-06Huyu ni baba wa taifa DRC walimtesa,wakamuua,wakamng'oa jino kwa koleo wakamyeyusha kwenye tindikali22:053,128
2022-07-06HARMONIZE anapanga kubadili DINI? video hii akiwa na KAJALA yazua maswali2:2110,384
2022-07-06DCB Bank yazindua kampeni za kusherehekea miaka 20 ya kuanzishwa kwake, yataja mafanikio yake4:57331
2022-07-06Muongozaji wa filamu ya AVATAR awachana mashabiki wanaoponda muendelezo wa filamu hiyo1:492,538
2022-07-06Hatimaye R Kelly aondolewa kwenye uangalizi maalumu unaomzuia kujiua wakati akitumikia miaka 30 jela1:436,220
2022-07-06OMMY DIMPOZ akesha studio na KIMAMBO kukamilisha album yake mpya itakayotoka hivi karibuni2:022,582
2022-07-06Hadi kwa wenzetu haya yapo!! Wakamatwa kwa kutompeleka mtoto hospitali kisa maombi, mtoto aaga Dunia1:583,708
2022-07-06Ujumbe wa Kagame Twitter wenye utata mkubwa, asema yuko tayari kwa mabaya dhidi ya Rais wa DRC1:585,964
2022-07-06Mwanamke akiri kukata viungo vya miili ya maiti za binadamu ikiwemo vichwa, mikono na kuviuza3:202,077
2022-07-06AJABU: Timu za soka zafungana mabao 90 kipindi cha pili ili kuingia ligi kuu Siera leon3:113,336
2022-07-05Karen kudai alimpata mwanae kwa upandikizaji, daktari afunguka, adai si kitu rahisi, ni gharama17:4414,575
2022-07-05Rapper Travis Scott asimamisha tamasha na kuomba mashabiki kushuka juu ya mistimu, ahofia maisha yao2:139,166
2022-07-05Mocco Genius afunguka alivyoweza kurekodi na Diamond/WCB, Alikiba/Kings na Konde Gang bila tatizo15:132,117
2022-07-05Mrembo huyu wa TIKTOK awaliza Mashabiki baada ya taarifa ya KIFO chake, Chanzo chatajwa ni AJALI2:3119,708
2022-07-05NOMA: North mtoto wa kwanza wa Kanye avalia koti la Baba yake aliloliwahi kulivalia mwaka 20082:136,049
2022-07-05Mocco Genius alivyopoteza zaidi ya nyimbo 500, za Mbosso 30, Zuchu 20, zimo za Diamond, Killy, Chidi13:272,340
2022-07-05Mrembo DOLLY afunguka ukweli wa kutoka kimapenzi na RAY VANNY, kuchukiwa na FAHYMA, kuitwa QUEEN23:10161,673
2022-07-05Mocco Genius aeleza kwanini ameingia rasmi kwenye kuimba 'Zamani sikuweza kumudu gharama za studio'9:431,135
2022-07-05Mjasiriamali wa Vipodozi ajitokeza kumsaidia Luiza Mbutu baada ya kuathiriwa na Mkorogo3:226,542
2022-07-05UPO NYONYO ya Saraphina yafikisha Streams Milion 1 Boomplay, Speed yake sio ya mchezo mchezo1:211,251
2022-07-05Ariana Grande aweka rekodi ya kuwa na nyimbo nyingi zenye STREAMS zaidi ya Bilioni moja SPOTIFY1:48567
2022-07-05Nandy akumbushia safari ya miaka 7 ya mapenzi yao wakijiandaa kufunga ndoa mwezi huu1:036,325
2022-07-05Lugha ya KISWAHILI kuishangaza Dunia, Ukuaji wake niwa 5G, CANADA yafanya jambo hili kubwa4:312,350
2022-07-05Baada ya Instagram kumzuia DRAKE FEKI kuutmia ukurasa wake kisa kumuiga Drake halisi, arudi na hili2:065,304
2022-07-05Neymar achukizwa na Bosi wa PSG, apanga kutimka zake, hizi hapa timu zinazoweza kumchukua6:017,579
2022-07-05Rekodi za ajabu zilizotokea ligi kuu Tanzania bara msimu huu, penati, kadi nyekundu ni balaa6:072,354
2022-07-05ALIKIBA alivyompiga teke HAMADAI kumsogeza kupitia "NIAMINI" yapiga views 1M2:229,899
2022-07-05Mmiliki wa Chelsea na kocha wavutana kisa Ronaldo, kinachoweza kutokea ni hiki2:477,372
2022-07-05Aliyewafyatulia risasi umati wa watu Chicago akamatwa, aua na kujeruhi zaidi ya watu 301:581,337
2022-07-05STAMINA achukizwa na Mapenzi, adondosha 'HAYANA MAANA' kwenye series yake ya Love Bite3:121,315
2022-07-05Asilimia 60 ya mapato ya wimbo wa LAST LAST wa Burna Boy yanaenda kwa Toni Braxton, sababu ni vionjo1:466,262
2022-07-05Utajiri wa Rihanna wapanda, awa Bilionea wa kike mwenye umri chini ya miaka 40 Marekani1:382,101
2022-07-05Verzuz ya Mario na Omarion, Chris Brown ni zaidi ya Michael Jackson? Album yake? | The Outsiders36:303,562
2022-07-05Diamond aweka heshima kwenye Afro Nation kwa show moto licha ya kutangulizwa mwanzoni |The Outsiders58:0345,596Show
2022-07-04BARNABA afunguka kuichagua WASAFI na kuiacha CLOUDS kwenye Uzinduzi wa Album yake, asema haya10:588,392
2022-07-04Diamond alivyopewa surprise baada ya kupoteza sehemu ya mkufu wake wa almasi wenye thamani kubwa3:2345,148
2022-07-04BARNABA atoboa siri nzito iliyopo kwenye Namba 18, atangaza hili kubwa kwenye sanaa yake10:401,185
2022-07-04Nai ampiga kijembe Karen baada ya kudai mwanae amempata kwa njia ya kupandikiza (IVF)4:228,072
2022-07-04ZAMARADI alia na wanaotaka kumharibia maisha yake, "yamenikuta, wanataka kushusha wengine bila aibu2:197,963
2022-07-04Ray Vanny aangusha party kwenye headquarters za NLM, Young Lunya, Billnass na wengine wahudhuria3:367,511
2022-07-04SABRA mke wa ISIHACK achezea POVU baada ya kuweka video hii na kudai kuwa anapendwa4:0215,198
2022-07-04Akatwa sehemu nyeti kwenye kilabu cha pombe Manyara,inadhaniwa ni biashara ya viungo vya binadamu2:271,358
2022-07-04Manara kujiuzulu ukipatikana ushahidi wa kumtukana RAIS wa TFF,ashtakiwa kamati ya maadili3:302,191
2022-07-04Wajifungia kanisani zaidi ya miezi minne wakisubiri Yesu aje kwa mara ya Pili,wameambiwa anakuja1:462,775
2022-07-04Yanga yarusha kijembe kwa Simba baada ya kumtabulisha Morisson,wasema hawawezi kuwapigia goti Simba2:592,084
2022-07-04Fahyma arudia pozi hili la Beyonce na nguo kwenye picha mpya, amemfunika Queen Bey?1:2410,323
2022-07-04Bata la Irene Uwoya Dubai si la kitoto, tazama shopping aliyoifanya, pesa inaongea2:535,235
2022-07-04Diamond ajiita mume wa Zuchu kwenye comment aliyoweka kwenye video ya show yake ya Afro Nation!5:1523,860
2022-07-03Rapper La Fouine alivyouwasha moto kwenye Africa In Colors Festival nchini Rwanda1:322,057
2022-07-03Tazama Diamond Platnumz alivyotumbuiza kwenye tamasha la Afro Nation, Portugal1:5357,588
2022-07-03Si kweli kuwa Watanzania hawapendi kusoma vitabu, swali ni kwamba tunawaandikia nini - Mwandishi4:57519
2022-07-03Lifahamu lengo la 'Elite Mjue Mtunzi', tukio lililokutanisha waandishi wa vitabu Jumapili4:54308
2022-07-03Mjue Mtunzi: Elizabeth Mramba,Joseph Shaluwa watunukiwa tuzo (Ngao ya Mtunzi)2:59540
2022-07-03Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda ahimiza watanzania kutokuwa nyuma katika uandishi wa vitabu11:47296
2022-07-03Mjue Mtunzi: Elizabeth Mramba wa TBC 1 afunguka changamoto zilizopo kwa fani ya uandishi wa vitabu2:132,332
2022-07-03Mjue Mtunzi: Mtangazaji wa TBC 1, Elizabeth Mramba asimulia alivyoingia kwenye uandishi wa vitabu10:122,004
2022-07-03Afro Nation Portugal: Diamond kupanda jukwaa moja na Burna Boy, Meagan Thee Stallion Jumapili hii1:543,847
2022-07-03Don Jazzy ampost jamaa huyu anayeonesha ghetto lake huku akiimba wimbo wa Harmonize 'Bedroom'2:31113,602
2022-07-03Staa huyu wa Afrika Kusini afanya mazishi ya kifahari ya mbwa wake, yahudhuriwa na watu kibao1:234,160
2022-07-03Ahukumiwa miaka 10 jela kwa kufanya mapenzi na Farasi1:098,186
2022-07-03Meya wa Mexico afunga ndoa na Mamba, harusi yafana, shangwe, ndelemo na vifijo vyatawala2:0610,823