Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Views:
372,937,436
Subscribers:
1,310,000
Videos:
27,738
Duration:
141:23:21:33
Kenya
Kenya

Simulizi Na Sauti is a YouTube content creator with over 1.31 million subscribers. His content totals over 372.94 million views views across roughly 27.74 thousand videos.

Created on ● Channel Link: https://www.youtube.com/channel/UC5kGMWL-g-T1n4inkrpNAmQ





All Videos by Simulizi Na Sauti



PublishedVideo TitleDurationViewsCategoryGame
2023-02-12Baby Sky, Sky na mtoto wao Nicole ndani ya Sawa Sawa Bay, kiota amazing Dar, panakufaa sana9:0028,702
2023-02-11Harmonize na Ray Vanny mambo ni shwari! Wote sasa wanajifollow Instagram3:0530,323
2023-02-11Video ya AKA alivyopigwa risasi yasambaa, Baba wa aliyekuwa girlfriend wa AKA, Anele afunguka9:38112,693
2023-02-11Mnaijeria huyu mwaka 2021 alitabiri AKA atauawa kwa risasi, alitabiri pia kifo cha mtoto wa Davido6:0076,268
2023-02-11OMMY DIMPOZ ataka singeli itumike kuitambulisha TZ, aweka video za DJ huyu aliyefanya balaa ULAYA3:5110,427
2023-02-11Wizkid, Kendrick Lamar, Travis Scott na Stormz kuliongoza tamasha la OPEN AIR huko Uswizi1:541,814
2023-02-11NI NOMA: Innoss'B na Zuchu walivyolipamba penzi lao kwenye kolabo hii KISS, waivimbia kuipa promo2:406,789
2023-02-11ASLAY afikisha subscribers 1M baada ya kurejea kwenye muziki tangu akae kimya2:024,166
2023-02-11BABA LEVO athibitisha ZUCHU kuwa na UJAUZITO, adai DIAMOND ametenga 175M za malezi3:3913,544
2023-02-11Nimelala nje kwa miezi sita, BABA hakuwahi kujua, nilimficha, nilikua navizia magari parking; DIDY21:28893
2023-02-11Willy Paul awaponda warembo wa Tik tok na Instagram, awaita mapepo, atoa ushauri huu kwa Wanaume1:281,550
2023-02-11Future amtumia Tems zawadi ya Maua na ujumbe wa shukrani kwa ushiriki wake kwenye WAIT FOR YOU1:383,229
2023-02-11Kitabu cha Kihistoria cha Urembo chazinduliwa, ukubwa wake sio wa mchezo,kitaleta mabadiliko makubwa5:36311
2023-02-11Donald Trump amshambulia Rihanna " hana kipaji, isingekuwa mitindo na mavazi asingekuwa chochote"2:1810,430
2023-02-11John Cena gumzo kwa picha hizi akiwa kavalia sketi na viatu vya kike,ni ujio wa filamu ya vichekesho1:3810,809
2023-02-11Huyu ndiye rafiki na meneja wa zamani wa AKA aliyepigwa risasi na kuuawa pamoja naye1:3814,964
2023-02-11Wazazi wa AKA watoa taarifa rasmi ya kifo chake, watumia akaunti zake za mitandao ya kijamii1:3223,389
2023-02-11AKA alishare location alipokuwa dakika chache kabla ya kupigwa risasi, ni kisasi? Ni kuhusu Anele?8:14106,148
2023-02-10Rapper AKA afariki dunia kwa kupigwa risasi huko Durban, Afrika Kusini *Exclusive Details4:5416,608
2023-02-10Kampuni ya ADIDAS yasanda,yakiri kupata hasara kisa kumtema Kanye, sasa kupoteza zaidi ya tririoni 42:2012,406
2023-02-10Tamasha la Jose Chameleone laahirishwa baada ya mvua kuharibu jukwaa, muziki na eneo la mashabiki2:333,359
2023-02-10HAJI MANARA ajutia maamuzi yake ya Kumuoa RUSHAYNAH ''Nilikurupuka, nilikosea''2:444,702
2023-02-10UKRAINE: Mwaka 1 wa mapambano! DJ Sma anakuchambulia hatua kwa hatua hali ilivyo mbaya17:046,706
2023-02-10Tetemeko Uturuki-Syria: Maelfu wajitokeza kutaka kukilea kichanga kilichozaliwa kwenye kifusi2:1111,479
2023-02-10BABA LEVO amchana MWIJAKU baada ya kudai kapewa zawadi ya GARI jipya na mkewe3:0713,331
2023-02-10EXCLUSIVE - KILL PAUL ajibu tetesi za kutoka KIMAPENZI na ANJELLA, ukaribu wao waleta maswali mengi9:599,002
2023-02-10STEVE NYERERE amtaka BABU TALE arudishe UDAKTARI aliopewa baada ya kuzua mjadala mkubwa mtandaoni9:3110,374
2023-02-10TG OMORI: Nitanunua Ndege binafsi tukianza kupata mapato ya asilimia 10 kwenye nyimbo za wasanii1:163,437
2023-02-1050 Cent anatoza Bilioni 2.3 kutumbuiza kwenye show ya kimataifa licha ya kutoachia album kwa miaka 82:143,935
2023-02-10Rihanna adai amechukua maamuzi ya kutumbuiza SUPER BOWL kwani ni muhimu kwake na kwa mtoto wake2:111,462
2023-02-10Drake aamriwa kufika mahakamani kutoa maelezo baada ya kuhusishwa na mauaji ya Xxx Tentacion2:173,190
2023-02-10Kipa wa Yanga afanyiwa upasuaji, atoa ujumbe huu akiwa kitandani1:341,371
2023-02-10Tetemeko la Uturuki laua Waganda hawa,wengine wanaisi kwenye magari baada ya kukosa makazi1:131,795
2023-02-10Kaka wa Messi amelikoroga Barcelona,aitolea maneno yasiyofaa,familia yajitenga naye,aomba radhi1:407,105
2023-02-10Ronaldo anatisha balaa,avunja rekodi hii kibabe akiwa Saud Arabia,mwenyewe asema haya1:486,134
2023-02-09Tetemeko la ardhi Uturuki na Syria, vifo vyafikia 17,3001:495,259
2023-02-09Kiburi cha fedha na akili za Rick Ross, ajaenda kufanya manunuzi MALL, wenye MALL wamemfata nyumbani1:5617,166
2023-02-09Ayra Starr na Rema kwenye jukwaa moja na Kendrick Lamar tamasha la Rolling Loud Uholanzi2:171,106
2023-02-09Pete ya Thamani ya RAYVANNY iliyopotea Mbagala yapatikana, yarudishwa, aandika haya2:323,534
2023-02-09DJ Khaled akubali kipaji cha Mchoraji wa Kike wa Tanzania aliyemchora na mwanae, aipost picha IG2:4310,350
2023-02-09Halaand amepunguza makali Manchester City kwa mabao? Wapinzani wamemjulia ama mabadiliko ya mifumo!4:542,791
2023-02-09HARMONIZE kusimulia chanzo cha penzi lake na KAJALA kuvunjika? aandika haya2:4519,344
2023-02-09Alichokisema BABA LEVO kuhusu RAYVANNY chatokea, Je ni kweli amelipwa Milioni 23 kwenye dili hili?4:0023,756
2023-02-09Diamond ashangaa Zuwena kufanya vizuri licha ya yeye binafsi kutoipromote sana, aahidi mawe zaidi1:2214,012
2023-02-09Phina kutumbuiza kwenye tuzo za Soundcity pamoja na Rema, Oxlade, Khaligraph, D'Banj, Mavin1:471,954
2023-02-09Habari mbaya kwa Saido Ntibazonkiza,akwama kusafiri na timu,sababu ni hii,waliotajwa ni hawa1:493,082
2023-02-09Msanii BAHATI wa USA afungua studio yake BONGO, afunguka kufanya makubwa kwenye muziki14:02542
2023-02-09Jay Z aongoza list ya wasanii wa rap bora wa muda wote, Kendrick, Nicki, Eminem, 2 Pac, BIG ndani2:411,309
2023-02-09Will Smith aumbuka kushindwa kufanya udanganyifu kwenye filamu inayoonesha anayeendesha gari si yeye3:526,542
2023-02-09Ni vita kubwa ya BABA LEVO na RAYVANNY? amchana vibaya sana, amsifia HARMONIZE4:0037,546
2023-02-09Man U yashikwa shati mbio za ubingwa,mashabiki wabaki mdomo wazi1:282,385
2023-02-09Harmonize aachia kionjo cha KWAME, wimbo alioshirikishwa na Khaligraph Jones, unatoka mwezi huu2:3413,604
2023-02-09Real Madrid yafanya kufuru,yaibamiza Al Ahly ,yatinga fainali kibabe1:281,564
2023-02-09Habari mbaya kwa mshambuliaji wa Ghana tetemeko lahofiwa kuondoa maisha yake1:123,390
2023-02-09Mtoto huyu wa Ronaldinho ni wa moto balaa, Barcelona wamkubali wamsainisha kama baba yake1:277,476
2023-02-09Juventus yakanusha kumtema Pogba yadai haya yasiyotarajiwa1:151,625
2023-02-09AISHA: Mlinzi HATARI aliyekufa KISHUJAA, alizuia RISASI kwa mwili wake zisimpige MUAMMAR GADDAFI17:24529,725
2023-02-08Mrembo MADELEINE mwanafunzi wa SPAIN afunguka baada ya kutumiwa na DIAMOND,KIBA,HARMONIZE,RAY VANNY21:5514,100
2023-02-08Kuanguka na kusimama kwa Barcelona, mchango wa Xavi tumaini jipya la mashabiki13:454,529
2023-02-08Mejja aeleza tatizo la koo linalomzonga na kushindwa kufanya muziki, awaomba mashabiki wamuombee8:094,055
2023-02-08Goli kipa huyu wa Uturuki afariki kwa vifusi vya tetemeko nchini humo alichezea klabu hii1:147,368
2023-02-08Rapper Albino Fulani aliyekuwa akiishi Marekani afariki dunia8:3110,844
2023-02-08FLOWERS III ya RAYVANNY yanukia, kuidondosha FOREVER kwa ajili ya Wapendanao, aandika haya2:022,907
2023-02-08The Deep Talk: Episode ya mwisho, Coach Dati, Mika Chavala na Paul Justin wana haya ya kutuambia19:41244
2023-02-08ULIVYO KWA ULACHO na Mama Terry: Maajabu ya Tangawizi kwa Nguvu za Kiume, itumie hivi utakuwa fit12:596,378
2023-02-08Argentina yanogewa, yaomba uenyeji kombe la dunia, kwa kushirikiana na nchi hizi tatu1:332,196
2023-02-08Ni nusu fainali ya kibabe, Al Ahly kuwavaa Real Madrid,mshindi kukutana na huyu klabu bingwa dunia1:003,249
2023-02-08Hatimaye Jay Z afunguka ni kwanini hapendi kupigwa picha hovyo, "sijakulia kwenye mazingira hayo"2:1417,657
2023-02-08MWIJAKU achezea POVU zito baada ya kumuandikia haya mke wa DR-MWAKA, mashabiki wachukizwa4:2623,536
2023-02-08VANESSA MDEE aweka video hii ya ROTIMI akilifurahia tumbo lake la ujauzito na kuandika haya2:105,972
2023-02-08SONY MUSIC kuuza nusu ya haki za kimuziki za Michael Jackson kwa tririoni 1.8 hadi tririon 2.12:043,850
2023-02-08Drake ahusishwa na mauaji ya Xxx Tentacion, Video yaachiwa X akitoa milioni 116 kabla ya kuuawa4:3625,041
2023-02-08Alichokifanya RUSHAYNAH baada ya HARMONIZE kuweka Bango la kuwa Single3:0116,685
2023-02-08Man City kumuajiri mwanasheria wa aliyekuwa waziri mkuu Uingereza kupangua madai yanayowakabili1:262,914
2023-02-08HARMONIZE wa MABANGO, aweka jingine kubwa, asisitiza kuwa Single, mambo ni mengi3:1211,735
2023-02-08Rais wa Simba uso kwa uso na rais wa FIFA, Wenger kwa suala hili muhimu1:301,517
2023-02-08Liverpool yaonywa kumtimua Klopp ,Chelsea,PSG,Bayern Munich na Madrid zatajwa kwa hili2:055,738
2023-02-08Kumbe Arsenal walikaribia kumsajili Messi kabla ya Barca,wakagonga mwamba kisa hiki,wakaambulia huyu2:252,802
2023-02-07Nape adai TZ ipo tayari kuipokea internet ya Elon Musk 'Starlink', wanasubiri wawasilishe nyaraka tu5:5910,262
2023-02-07MKE wa Dr Mwaka amuomba RAIS amsaidie, apiga MAGOTI akilia 'Sina amani, naweza kupata Depression'15:57179,566
2023-02-07Staa wa filamu za Avengers Chris Hemsworth atua Kenya0:589,497
2023-02-07Nani huyo? Mashabiki wadai sura ya Madonna haitambuliki tena, wasema anazidi kuwa kituko1:3910,850
2023-02-07Waganda si wa mchezo mchezo! Tazama chimbo hili la urembo alilofungua Sheila Gashumba, ni noma2:1912,715
2023-02-07Mashabiki wamcheka Ben Affleck baada ya video anayoonekana kufokewa na JLO kwenda viral2:099,833
2023-02-07ZUCHU ashika UJAUZITO? DIAMOND aandika haya kuweka wazi kuhusu kupata mtoto mwaka huu2:0333,506
2023-02-07DOGO JANJA adai atamshughulikia yoyote atakayemtaka mkewe QUEEN LINNA2:034,527
2023-02-07DJ KHALED: Ningependa kufanya kazi na TEMS, nampenda sana, napenda kazi zake, mimi ni shabiki yake3:303,004
2023-02-07Anerlisa Muigai achukizwa na comment ya shabiki huyu kudai yeye ni mgumba, aandika haya ya kugusa2:364,397
2023-02-07Mtoto wa kike wa Rapper Eminem mwenye miaka 27 achumbiwa na mpenzi wake wa muda1:555,011
2023-02-07Quavo na Offset wadaiwa kuzichapa Tuzo za Grammy kisa Marehemu Takeoff, Video yavuja, Cardi B ndani4:118,457
2023-02-07Habari mbaya kwa Morrison, kukaa nje ya kikosi kwa miezi miwili kisa hiki1:491,442
2023-02-07HARMONIZE adai warembo wanamsumbua apende tena, "niko single na sihitaji mahusiano"3:378,855
2023-02-07Diddy aikana post yake aliyomponda Burna Boy kushindwa GRAMMY akidai alimsaidia tuzo ya kwanza3:578,154
2023-02-07WAKAZI aikataa ZUWENA ya DIAMOND kwamba sio wimbo mkubwa Afrika, apinga kwa kuandika haya4:2828,179
2023-02-07Taarifa rasmi ya Yanga kabla ya kwenda Tunisia,maandalizi yamefikia hapa,Ali Kamwe atamba kwa hili1:37939
2023-02-07Neymar Jr ashinda tuzo hii kubwa Brazil,avunja rekodi hii1:202,474
2023-02-07Habari njema kwa Mwanasoka wa Ghana aliyefukiwa na vifusi vya tetemeko Uturuki1:1310,079
2023-02-07Wasiwasi Man city kuondolewa ligi kuu Uingereza watanda,ni kuhusu sakata lao la matumizi ya fedha1:277,853
2023-02-07Mabusu ya HUDDAH na JUX haikuwa tatizo kwa KAREN BUJULU ''VANESSA kwenye Sugar alikiss pia''10:026,208
2023-02-06Chris Brown amuomba radhi msanii aliyemkejeli baada ya kushinda tuzo ya Grammy aliyokuwa ametajwa2:377,452