Simulizi Na Sauti

Simulizi Na Sauti

Views:
372,937,436
Subscribers:
1,310,000
Videos:
27,738
Duration:
141:23:21:33
Kenya
Kenya

Simulizi Na Sauti is a YouTube content creator with over 1.31 million subscribers. His content totals over 372.94 million views views across roughly 27.74 thousand videos.

Created on ● Channel Link: https://www.youtube.com/channel/UC5kGMWL-g-T1n4inkrpNAmQ





All Videos by Simulizi Na Sauti



PublishedVideo TitleDurationViewsCategoryGame
2023-09-29Inasikitisha jinsi "Bora Kushukuru" wimbo wa OBBY ALPHA ulivyoandikwa, nilikua napitia mazito sana24:294,386
2023-09-29MANGE amuunga mkono MAMA WEMA, amchana WHOZU "tafuta hela mwanaume unaishije kwa mwanamke"5:4827,285
2023-09-29Gigy Money awatetea Wema na Whozu baada ya Mama Wema kukosoa wanavyoishi pamoja 'Amepata furaha'19:1311,175
2023-09-29Ulisikia Simu za Nai na Tessy zililipuka? Epuka makosa haya isitokee kwako pia - Dj Sma12:293,193
2023-09-29Baada ya bifu zito, kejeli na matusi Huddah aamua kumalizana na Khaligraph Jones kwa aina yake4:366,936
2023-09-29DIAMOND aonyesha HATARI,Tazama alivyo isimamisha MBEYA kwa dakika kadhaa, Kweli ni kipenzi cha wengi8:287,482
2023-09-29DStv hawapoi, wazindua tamthilia mpya CHANDA, Feza Kessy ndani14:32877
2023-09-29ALIKIBA ampuuza mrembo MADELAINE, aweka picha hizi na kuandika haya3:5814,768
2023-09-29MADELAINE aweka chats zake na ALIKIBA, awajibu wanaomtukana kwa kuandika haya5:1718,717
2023-09-29Usher afunguka namna Amapiano na Afrobeats zilivyoongeza chachu ya ubunifu wa Muziki wake2:542,838
2023-09-29Drake ashangazwa Dj Khaled kuitumia Show yake kutangaza ujio wa Album yake mpya kwa Bango hili2:333,502
2023-09-29MAMA WEMA amchana mwanae kwenye birthday party, achukizwa kuona anaishi na WHOZU bila taarifa3:5013,532
2023-09-29Sam Larry aliyewahi kumshambulia Mohbad akamatwa na polisi akirudi Lagos kwa kujificha2:1110,158
2023-09-28ABIGAIL CHAMS: MARIOO aliniumiza, alilipwa hakunisaidia, HARMONIZE na RAY VANNY nina chemisty nao50:0761,521
2023-09-28Wameujaribu MOTO wa Kapteni IBRAHIM TRAORE: Jaribio la kumpindua limefeli, waliopanga wanaswa12:2388,325
2023-09-28NAIRA MARLEY afunguka 'Wanasema nimemuua MOHBAD, ukweli utajulikana, nimetukanwa, nimechafuliwa'12:0218,027
2023-09-28SNOOP DOGG: Makampuni yananilipa Pesa kutangaza Vilevi vyao kama balozi, sio kunilipa ili nilewe3:263,840
2023-09-28Bondia MWAKINYO abadili maamuzi dakika za mwisho, agoma kupanda ulingoni kupigana, atoa sababu4:5620,421
2023-09-28Treyzah: Mkali wa RnB wanayemuita 'Chris Brown wa Bongo' ametajwa tuzo za AEAUSA 202338:512,152
2023-09-28Huyu ndiye MREMBO anayemtuhumu ALIKIBA kumtisha na kumnyanyasa baada ya kuwa na mahusino naye25:1430,862
2023-09-28Watoto wa Obama ni gumzo, baada ya Sasha kuonekana akivuta sigara hadharani, Malia anabadili Mabwana2:1217,069
2023-09-28Ramadhani Brothers wakamata nafasi ya tano kwenye America's Got Talent19:285,560
2023-09-28Nadia Mukami afunguka baada ya kuwashinda Zuchu na Nandy kwenye Tuzo za AFRIMMA "ni Dada zangu"3:098,088
2023-09-27Rotimi amuonesha mtoto wao na Vanessa 'Imani' alivyokuwa mkubwa sasa!2:2314,514
2023-09-27Mama Dangote aonesha zawadi za birthday alizotumiwa na Tanasha Donna, ni dola zimejaa2:5326,920
2023-09-27JAY MELODY: BAHATI alifuta nyimbo na sijamkosea, POLISI walinikamata KENYA, AMAPIANO ilinitukanisha28:5310,873
2023-09-27Utapenda jinsi Watanzania wanaoishi US walivyoenda kuwashangilia Ramadhani Brothers kwenye AGT4:226,045
2023-09-27FUSE Tech Review: Taa hizi zinafaa sana unapokosekana umeme!8:052,294Review
2023-09-27The Ben wa Rwanda alivyopokelewa Burundi2:091,952
2023-09-27Bahati adai alitumia milioni 457 toka mfukoni kwake alipokuwa akiwania Ubunge, Jubilee walimtenga4:103,319
2023-09-27Madee awakubali Veritable Complete Motors, waagizaji wa magari kutoka UK5:331,290
2023-09-27Burna Boy hataki kupoa, kuja na Tour yake Barani Amerika ya Kaskazini, ni kujaza viwanja tu2:432,380
2023-09-27Sababu na madhara ya kuwaachia bibi na babu wawalee watoto wako - Darasani na Counsellor Salome9:55464
2023-09-26Ustaarabu ni zero kwenye vyoo! Uwanja wa taifa umeingia, ni balaa! Ila Ethiopia wamezidi - Ochuness25:30376
2023-09-26Junior Talent awaibukia Ramadhani Brother LA siku moja kabla ya fainali ya America’s Got Talent6:552,240
2023-09-26Kwanini Afrika ni bara tajiri! Mahojiano ya DJ Sma na Kijana mwenye PhD, Dr Naoll yanafungua akili46:0811,989
2023-09-26Uchambuzi: Video ya Zuchu 'Naringa' inavyowapa moyo waliokataa tamaa, Zaburi yahusika9:348,613
2023-09-26DIAMOND akata mzizi wa fitina kwanini HAKUNA wasanii Wakike kwenye Festival ya WASAFI zaidi ya ZUCHU11:3124,579
2023-09-26Uongozi wanena Burna Boy kushindwa kuujaza uwanja unaobeba watu elfu 94 Sauzi, alitaka Bilioni 1.63:046,953
2023-09-26Muonekano wa TESSY CHOCOLATE wazua maneno baada ya kupungua ghafla3:5612,234
2023-09-26Neema kwa DIRECTOR KENNY, kupeperusha bendera ya ZERO 30, alamba dili nono kutoka Infinix13:162,499
2023-09-26SUGU aandika maneno haya kwenda kwa mwanae SASHA kwenye kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa2:383,731
2023-09-26Davido hana imani na watu wake?, video hii akikataa chakula alichokuta kapakuliwa tayari yawa gumzo3:1215,232
2023-09-26Video ya RAY VANNY na ABBY CHARMS wakicheza CORAZON yawavutia wengi mtandaoni3:229,981
2023-09-26Veritable Complete Motors washiriki maonesho ya kimataifa ya teknolojia ya madini Geita3:141,455
2023-09-26Kanye West ashitakiwa Italy kwa uvaaji wake uliotafsriwa ni wa KIGAIDI, adaiwa kuvunja sheria2:414,963
2023-09-26Bado wimbo mmoja tu Drake amfikie Michael Jackson kwenye chart ya Billboard 100, album yake kuamua3:053,244
2023-09-26Mohbad alifikishwa hospitali akiwa amefariki tayari, hospitali yakanusha taarifa za awali!3:5319,684
2023-09-25TAMISEMI wamaliza utata sakata la Sifika Daniel Ruben, wathibitisha Sifael ni muongo!3:365,547
2023-09-25UTATA waibuka MWANAFUNZI anayedai kukuta nafasi yake KIDATO cha 5 IMEUZWA, shule yafafanua, UTADUWAA12:3347,720
2023-09-25Diamond na mshindi wa Grammy Wouter Kellerman washoot video ya collabo yao 'Pounds and Dollars' Dar3:0014,034
2023-09-25America's Got Talent: Diamond, Mange waomba Watanzania waliopo US wawapigie kura Ramadhani Brothers4:499,650
2023-09-25Good News: APP ya SnS kwa watumiaji wa simu za Android itakuwa hewani siku chache zijazo0:552,010
2023-09-25Veritable Complete Motors washiriki maonesho ya kimataifa ya teknolojia ya madini Geita2:20638
2023-09-25Femi One amchimba mkwara Rosa Ree?, atoa masaa 72 kuombwa radhi kisa kutajwa, Motra the future ahoji5:266,025
2023-09-25DIAMOND kuhusu kumsaini ASLAY WCB, Aslay aijibu kauli hiyo ''Tayari nipo sehemu nyingine''21:1731,528
2023-09-25Mwanamieleka mstaafu HULK HOGAN mwenye miaka 70, afunga ndoa ya tatu na mkewe mwenye miaka 452:563,535
2023-09-25Rais wa Burundi alaani tetesi za kupinduliwa1:233,272
2023-09-25Nikki Mbishi atangaza kuachia mixtape yake mpya 'Legend in The Making' mwezi ujao1:50981
2023-09-25Show za WASAFI FESTIVAL: DIAMOND na RAY VANNY nani alitisha zaidi kwa ubunifu35:454,357
2023-09-25Kenya: Seneta apendekeza Rais akae madarakani miaka saba, badala ya mitano1:131,451
2023-09-25Rapper KONTAWA ajiunga na JESHI ili kupata mafunzo ya kijeshi, aweka picha hizi2:1510,347
2023-09-25Rais wa zamani wa Zambia apigwa marufuku kufanya jogging, sababu ni hii..2:278,253
2023-09-25Fix You: Nilijitoa sana kwa girlfriend wangu lakini akaniacha alipopata kazi, waliniasa sikusikia50:224,817
2023-09-25Bahati afunguka baada ya wimbo wake uliondoshwa You Tube na Genius Jini kurejeshwa"tuishi kwa amani"2:391,995
2023-09-25HARMONIZE adai hakuna kitu kwenye nchi hii kitaenda bila yeye kutajwa, ataja sifa za mke wake2:519,654
2023-09-25Chris Brown ashitakiwa na Benki kwa kukopa Bilioni tano tangu 2018 na kushindwa kulipa2:228,639
2023-09-25Usher kutumbuiza SUPER BOWL HALF TIME SHOW 2024, atangaza kuachia album mpya, kufanya makubwa4:091,169
2023-09-24TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kiss FM, Dee Seven afariki dunia4:127,053
2023-09-24Edward Snowden: Alivyoiba na kutoa SIRI nyeti na hatari za MAREKANI kisha kupewa hifadhi URUSI37:2360,389
2023-09-24Harmonize arekodi ngoma ya gospel na watoto hawa, aaahidi atakayefaulu atamsomesha hadi chuo kikuu2:2413,722
2023-09-23Kutoka kambi ya Wakimbizi Kigoma hadi Marekani msanii AMBRI THE GENIUS ajitangaza mfalme wa Diaspora20:491,728
2023-09-23WOLPER avunja Ukimya tetesi za kutoka KIMAPENZI na KUSAH, awapa lawama familia ya AUNTY EZEKIEL15:547,037Let's Play
2023-09-23IBRAAH: Napitia magumu sana, nimekaa miezi nane bila kulipwa, nimetoa wimbo kuokoa kipaji changu20:5592,530
2023-09-23WOLPER na MKE wa MC PILIPILI walivyodamshi kwenye Uzinduzi wa duka la Nacharo Arusha, Tazama hii5:122,736Let's Play
2023-09-23SHUU Vs SINGLE AGAIN? Watangazaji wa Bongo 5,Rick Media na Bingo Online wavunja Ukimya, ipi imeenda?16:1428,300
2023-09-23Mchekeshaji Clam apata ajali ya barabarani, gari lipo nyang'anyang'a1:1331,115
2023-09-23Lil Durk na J Cole kwa mara ya kwanza waitumbuiza ALL MY LIFE mbele ya mashabiki elfu 202:592,011
2023-09-23ZUCHU kuhusu kuvaa Kigodoro MASHA LOVE asema haya, ni katika Uzinduzi wa Duka jipya la NACHARO10:002,594
2023-09-23Harmonize asisitiza tena hakuna kam Single Again 'Hivi kwanini wanajifanya kama hawajuwi?'4:0911,495
2023-09-23Taarifa kuhusu Tems kuwa na ujauzito wa Rapper Future zilivyosambaa kwa kasi Marekani, Yeye apinga2:416,741
2023-09-23Kim Kardashian apondwa na mashabiki kwa kudai Picha hii ya kuvutia imechorwa na mtoto wake NORTH2:273,497
2023-09-23Amber Ray atia neno kuvunjika kwa penzi la Brown Mauzo na Vera Sidika "sifurahii watu kuachana"3:382,818
2023-09-22OXLADE ajitetea kwa alichomfanyia MOHBAD, adai kutishiwa kuuawa, IYANYA amuita 'fake' na ameumbuka17:4034,256
2023-09-22Harmonize na mrembo wa Uganda Laika wajichora tattoo zinazofanana shingoni!2:4710,093
2023-09-22ZUCHU msanii mzuri (KISU) kuliko wote Bongo? Wakulungwa Songea watema cheche, Mmoja ajifia kwa JIDE10:587,416
2023-09-22HARMONIZE adai hakuna ngoma kubwa kama SINGLE AGAIN aiiita SHU ya DIAMOND 'Ngoma Uchwara'9:0625,325
2023-09-22MARTIN CLASSIC ayasimulia mateso ya mapenzi aliyoyapitia kwenye SITAKI2:392,315
2023-09-22Malalamiko ya ALIKIBA "Napitia changamoto ila hawawezi vuruga shabaha ya mshale wangu"5:0618,994
2023-09-22Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri aipongeza PPRA kwa kuja na mfumo wa Nest 'Wamerahisha ununuzi'3:11169
2023-09-22PPRA yazitaka taasisi za Umma kuanza kutumia mfumo wa Nest, TANePS kuzimwa4:32203
2023-09-22Picha hii ya WOLPER na KAJALA yazua maneno mtandaoni na kumuibua HARMONIZE3:579,843
2023-09-22Kenya: Mwanamke aliyemchoma daktari visu mara 25 na kumuua anaswa kwenye CCTV1:4412,839
2023-09-22ASLAY awavuta HARMONIZE na NANDY kuja kuandika historia ya miaka yake 10 ya muziki4:4611,556
2023-09-22Mchekeshaji huyu adai Kanye West anamnyanyasa mkewe kwa kumvalisha mavazi yanayomuonesha mtupu6:003,510
2023-09-22Video hii ya RAY VANNY yazua maswali, mashabiki wahoji, DIAMOND atia neno3:4525,037
2023-09-22MOHBAD:Nesi akamatwa, Davido alalamikiwa kum-follow Naira Marley, Wananchi wapigwa mabomu ya machozi10:0718,605
2023-09-21Diamond na S2Kizzy watangaza ujio wa remix ya Shu wakati umaarufu wake ukizidi kuongezeka kimataifa3:0813,001
2023-09-21WANAIJA wanaamini MOHBAD alizikwa akiwa hai, DAMU MBICHI yakutwa ndani ya JENEZA baada ya kufukuliwa8:1948,823
2023-09-21Samsung wachia simu kwajili ya vita! We ukipata utaitumiaje? Dj Sma8:2113,779